Pole sana wakili msomi.Namshukuru Mungu pia nilipona shambulizi la vyupa kwenye supu yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana wakili msomi.Namshukuru Mungu pia nilipona shambulizi la vyupa kwenye supu yangu.
Kwani siku ya mwisho imeshafika na amehukumiwa tayari. Usiongelee ya mwenzako subiri yako. Nani mwenye ushahidi kwamba JPM alihusika. Usihukumu bila ushahidiAnateseka sana na moto wa Jehannam
Wazungu wamekiri COVID 19 ilikuwa ni Sanaa tu na kwamba waliochanjwa wategemee mabadiliko ya Tabia Mwili 🐼aliyefukuza covid kwa maombi ikamlamba yeye kama mfano
sanaa ambayo imeondoka na mamilioni ya watu.ila wewe ndio nyie mngezaliwa kipindi teknolojia zinaelezwa kabla ya kutenda mngepinga sanaWazungu wamekiri COVID 19 ilikuwa ni Sanaa tu na kwamba waliochanjwa wategemee mabadiliko ya Tabia Mwili 🐼
dhambi humfuata mtuViongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.
Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza
Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini
LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu
Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu
Mlale Unono 😀😀
Zeneka waliochanjwa Wabunge wa Chadema walipojifungia imeondolewa sokoni 🐼sanaa ambayo imeondoka na mamilioni ya watu.ila wewe ndio nyie mngezaliwa kipindi teknolojia zinaelezwa kabla ya kutenda mngepinga sana
Nakubaliana na weweIran ndiyo mfadhili mkubwa wa vikundi vyote vya kigaidi duniani vinavyotumia mwavuli wa jihad. Maelfu ya watu wasio na hatia pote duniani wamepoteza maisha kwa ufadhili huu wa kishetani wa Iran 🇮🇷. Malipo ni hapa hapa duniani.
Sahihi kabisaUkitenda Mema, utalipwa mema...na ukitenda maovu utalipwa kwa maovu yako
Kama una uchungu naye nenda kamuopoe kwenye moto wa JehannamKwani siku ya mwisho imeshafika na amehukumiwa tayari. Usiongelee ya mwenzako subiri yako. Nani mwenye ushahidi kwamba JPM alihusika. Usihukumu bila ushahidi
Kwangu mm wakati wote naamini Lissu ni Mpotoshaji wa Mambo tusimwaminiHapa unamwonea mnyalukolo Thebaptist. Hajadhihaki kifo cha mtu, bali anaonesha ukuu wa Mungu.
Nadhani anadhihirisha lile andiko lisemalo:
'BWANA asipoulinda mji, wakeshao wakesha bure'.
Tunamshukuru sana Mungu, kwa matendo yake makuu juu ya Lisu maana hakika lingefanikiwa jambo lile alilokusudia shetani kupitia kwa hawa mawakala wake waliopo nchini, simanzi za wapenda haki zingekuwa ni kubwa mno, na pengine wengine wangevunjika mioyo ya imani wakiamini sala zao Mungu amezipuuza. Shetani alizuia hata maombi ya pamoja kwaajili ya Lisu, lakini bado watu waliendelea kuomba kila mtu kwa namna yake. Yalikuwa maombi ya moyo na si maombi ya maonesho.
Mungu hutenda kila jambo kwa wakati na kwa hekima yake, ambayo hakuna aijuaye kwa hakika.
Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wetu ulite Mkuu sana, ukuu wako tumeuona juu ya Lisu na wengine wengi, tuwajuao na tusiowajua. Tunaomba uendelee kuwafedhehesha mawakala wa shetani maana baadhi hawajakata tamaa.
Na Lisu atambue kuwa walitaka kumwua kwa sababu ya kuwa mkweli. Basi hata baada ya kunusurika kifo kike, adumu kwenye ukweli, tena kwa ujasiri ulio mkuu.
Nyoko wewe .... tunajenga mirandi na hera za ndani? Paah kifo kikamuumbua mikopo ya ilikuwa zaidi kipato cha ndani...wenye vyeti feki mbona Makonda aka Bashite aliumbuliwa na Gwajima Mbunge kwa sasa Kawe aliepitishwa na Jiwe ...kawani hakumfukuza kazi kama kweli Magufuli wenu alikuwa na pambana na wa vyeti feki??? Acha kutumia makende kufikilia ,Jiwe alikuwa jizi, jambazi ,muuaji na kupenda kusifia kwa nguvu kama ma dictators wote.kama hujanielewa baki na mavi yako nyumbani...swineNa kweli magufuli bila kufa mafisadi, wala rushwa, wavivu, vyeti feki, wauza ngada mngemalizwa
Kweli aisee..Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.
Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza
Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini
LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu
Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu
Mlale Unono 😀😀
Watasema alah akbaru, alah anadundwa na jehovaViongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.
Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza
Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini
LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu
Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu
Mlale Unono 😀😀
Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.
Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza
Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini
LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu
Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu
Mlale Unono 😀😀
Siye yule aliyekula nduki Za wayahudi?Mungu wa Israel, Mungu wa isaka na Mungu wa Yakobo ndie Mungu apaswaye kuabudiwa duniani kote.
Vipi Mwendazake mna habari zozote huko aliko
Ilipaswa apitie yale ili tukomboleweHakuna mtenda wema zaidi ya Yesu, lakini aliishia kudhalilishwa, kukebehiwa, kusulubiwa na kuuliwa kifo cha laana. Jifunze kuwa kazi ya Mungu haitafsiriwi na akili ya kibinadamu.
Asubuhi njema.
Alikudanganya Nani ?Ilipaswa apitie yale ili tukombolewe