Tundu Lissu asiye na Ulinzi risasi 16 kapona, Ebrahim Raisi mwenye Ulinzi kafia porini. Atukuzwe Mungu wa Israel!

Tundu Lissu asiye na Ulinzi risasi 16 kapona, Ebrahim Raisi mwenye Ulinzi kafia porini. Atukuzwe Mungu wa Israel!

Wazungu wamekiri COVID 19 ilikuwa ni Sanaa tu na kwamba waliochanjwa wategemee mabadiliko ya Tabia Mwili 🐼
sanaa ambayo imeondoka na mamilioni ya watu.ila wewe ndio nyie mngezaliwa kipindi teknolojia zinaelezwa kabla ya kutenda mngepinga sana
 
Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.

Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza

Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini

LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu

Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu

Mlale Unono 😀😀
dhambi humfuata mtu
 
Hapa unamwonea mnyalukolo Thebaptist. Hajadhihaki kifo cha mtu, bali anaonesha ukuu wa Mungu.

Nadhani anadhihirisha lile andiko lisemalo:

'BWANA asipoulinda mji, wakeshao wakesha bure'.

Tunamshukuru sana Mungu, kwa matendo yake makuu juu ya Lisu maana hakika lingefanikiwa jambo lile alilokusudia shetani kupitia kwa hawa mawakala wake waliopo nchini, simanzi za wapenda haki zingekuwa ni kubwa mno, na pengine wengine wangevunjika mioyo ya imani wakiamini sala zao Mungu amezipuuza. Shetani alizuia hata maombi ya pamoja kwaajili ya Lisu, lakini bado watu waliendelea kuomba kila mtu kwa namna yake. Yalikuwa maombi ya moyo na si maombi ya maonesho.

Mungu hutenda kila jambo kwa wakati na kwa hekima yake, ambayo hakuna aijuaye kwa hakika.

Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wetu ulite Mkuu sana, ukuu wako tumeuona juu ya Lisu na wengine wengi, tuwajuao na tusiowajua. Tunaomba uendelee kuwafedhehesha mawakala wa shetani maana baadhi hawajakata tamaa.

Na Lisu atambue kuwa walitaka kumwua kwa sababu ya kuwa mkweli. Basi hata baada ya kunusurika kifo kike, adumu kwenye ukweli, tena kwa ujasiri ulio mkuu.
Kwangu mm wakati wote naamini Lissu ni Mpotoshaji wa Mambo tusimwamini
 
Na kweli magufuli bila kufa mafisadi, wala rushwa, wavivu, vyeti feki, wauza ngada mngemalizwa
Nyoko wewe .... tunajenga mirandi na hera za ndani? Paah kifo kikamuumbua mikopo ya ilikuwa zaidi kipato cha ndani...wenye vyeti feki mbona Makonda aka Bashite aliumbuliwa na Gwajima Mbunge kwa sasa Kawe aliepitishwa na Jiwe ...kawani hakumfukuza kazi kama kweli Magufuli wenu alikuwa na pambana na wa vyeti feki??? Acha kutumia makende kufikilia ,Jiwe alikuwa jizi, jambazi ,muuaji na kupenda kusifia kwa nguvu kama ma dictators wote.kama hujanielewa baki na mavi yako nyumbani...swine
 
Acheni kujitungia hadithi; Kufa au kuishi kwa mtu ni mapenzi ya Mungu na ndiye hupanga wakati gani amchukue.
Kuna watoto wanazaliwa na kuishi siku au miezi au pengine miaka michache na kufa hata hawajafika umri wa kumkosea Mungu
Lakini pia Mbona Yesu naye aliuawa tena kwa mateso Msalabani; unataka kutuambia na yeye alikuwa muovu?
 
Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.

Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza

Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini

LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu

Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu

Mlale Unono 😀😀
Kweli aisee..
 
Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.

Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza

Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini

LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu

Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu

Mlale Unono 😀😀
Watasema alah akbaru, alah anadundwa na jehova
 
Viongozi tendeni wema kwa Watu wote na Mungu wa mbinguni atawapigania mjapopita Katikati ya Bonde la uvuli wa mauti.

Muangalie Tundu Lissu aliposhambuliwa na risasi dereva alimvutia Upande wake na risasi zikaishia miguuni huu ni muujiza

Muujiza wa pili ni Beki 3 Kuendesha Gari kwa Kasi ya ajabu hadi hospital na kumuwahisha Tundu Antipas Lissu kabla damu haijaisha mwilini

LAKINI Ebrahim Rais aliachwa msituni huku helicopter za kumlinda zikifanikiwa kuukwepa ukungu

Acheni Mungu wa mbinguni aitwe Mungu

Mlale Unono 😀😀

Atakuzwe mungu yupi huyo wa Israeli? Au huyo mnayosema alizaliwa akatawazishwa mavi ??
 
Hakuna mtenda wema zaidi ya Yesu, lakini aliishia kudhalilishwa, kukebehiwa, kusulubiwa na kuuliwa kifo cha laana. Jifunze kuwa kazi ya Mungu haitafsiriwi na akili ya kibinadamu.
Asubuhi njema.
Ilipaswa apitie yale ili tukombolewe
 
Back
Top Bottom