Tundu Lissu asiye na Ulinzi risasi 16 kapona, Ebrahim Raisi mwenye Ulinzi kafia porini. Atukuzwe Mungu wa Israel!

Tundu Lissu asiye na Ulinzi risasi 16 kapona, Ebrahim Raisi mwenye Ulinzi kafia porini. Atukuzwe Mungu wa Israel!

Kwani siku ya mwisho imeshafika na amehukumiwa tayari. Usiongelee ya mwenzako subiri yako. Nani mwenye ushahidi kwamba JPM alihusika. Usihukumu bila ushahidi
Mimi nina ushahidi kuwa Magufuli ndiye alimtuma Makonda na kikundi chake cha wasiojulikana kumshambulia Tundu Lissu
 
Acheni kujitungia hadithi; Kufa au kuishi kwa mtu ni mapenzi ya Mungu na ndiye hupanga wakati gani amchukue.
Kuna watoto wanazaliwa na kuishi siku au miezi au pengine miaka michache na kufa hata hawajafika umri wa kumkosea Mungu
Lakini pia Mbona Yesu naye aliuawa tena kwa mateso Msalabani; unataka kutuambia na yeye alikuwa muovu?
Acheni ujinga wa kumpa Mungu kazi ambazo siyo zake. Mnajificha kwenye kichaka cha mapenzi ya Mungu.
Mungu mnampa majukumu mengi hata ya uzembe wenu. Magufuli kaambiwa kuna COVID19 vaa barakoa, keep distance ikibidi pata chanjo. Yeye akapuuza, Corona ikamuondoa, bado unasema ni mipango ya Mungu??

Unaona treni inakuja, wewe huipishi kwa kuwa kama siku yako huwezi kufa?
 
Back
Top Bottom