Kwa hiyo yeye anatakaje kwa mfano, kwamba nchi wapewe kina Lema? Kina Mdee? Kina Mbowe? Na hayo maendeleo ya mabeberu ndio yatayeyuka wakiingia wao? Kwamba wao hawatafanya shughuli za maendeleo? Bora hata angekaa kimya, anajiharibia before hata kipyenga kupulizwa.
Amefeli kabla hajaanza. Hatuna utamaduni wa siasa anazoziongelea.
Tundu Lissu baada kutua kwenye aridh ya Tanzania alijawa na furaha ilichanganyika na huzuni, utaami na uchungu.
Hakutegemea idadi ya Watanzania waliokwenda kumpokea na mapenzi waliyomuonyesha hakutegemea na yalimfariji sana.
Uchaguzi mkuu huu utakua ni referendum juu ya miaka mitano ya Urais wa Magufuli. Maana ya yake ni kuwa akiwa na agenda ya kujenga miundo mbinu, tutamwambia Wajerumani walianza kujenga miundo awamu ya kwanza walifanya, awamu ya pili, awamu ya tatu na ya nne.
Amesema hayuko huru sana, kwani waliomdhuru bado wanaitwa watu wasiojulikana. Lakini anaamini ni jukumu la vyombo vya usalama kulinda raia wake.
View attachment 1520465
Umewaona ee. Wakati mwingine nacheka kwa masikitiko. Alafu kila mtu anamuona mwenzie kinyago. Itabidi wanunue kioo wote.Reasoning ya wana Lumumba na wana Ufipa ni ya kutia shaka sana. Yaani hizi pande mbili zimejaa mbatata kila kona.
Mbinu za kwenda na CCM ni hizo hizo unataka wabadilike nini? CCM ni ile ile kubambikiwa kesi ni kulekule ukitaka waje na mbinu mpya ni kuwafungulia kesi CCM kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa kule The Hague hakuna namna ingine.Umewaona ee. Wakati mwingine nacheka kwa masikitiko. Alafu kila mtu anamuona mwenzie kinyago. Itabidi wanunue kioo wote.
TL naye nilitegemea baada ya kuishi huko mamtoni atakuja na mbinu za kiutu uzima zaidi, kumbe yaleyale makelele tu.
Haya labda tumsikilizie Membe tuone. Maana angalau anaongea kwa mapozi kidogo tuliokwishabalehe inatupa uwezo wa kufuatilia hoja.
Tundu Lissu baada kutua kwenye aridh ya Tanzania alijawa na furaha ilichanganyika na huzuni, utaami na uchungu.
Hakutegemea idadi ya Watanzania waliokwenda kumpokea na mapenzi waliyomuonyesha hakutegemea na yalimfariji sana.
Uchaguzi mkuu huu utakua ni referendum juu ya miaka mitano ya Urais wa Magufuli. Maana ya yake ni kuwa akiwa na agenda ya kujenga miundo mbinu, tutamwambia Wajerumani walianza kujenga miundo awamu ya kwanza walifanya, awamu ya pili, awamu ya tatu na ya nne.
Amesema hayuko huru sana, kwani waliomdhuru bado wanaitwa watu wasiojulikana. Lakini anaamini ni jukumu la vyombo vya usalama kulinda raia wake.
View attachment 1520465
Tuko pamoja mkuutundu lissu kanifanya nianze kutembelea jammi forum baada ya miaka kuacha kuja hapa. maana siasa za Tanzania bila Tundu lissu zilikuwa zimepooza sana. sasa naona mwanga kwa mbali hata Magufuli akijaribu kuzima hataweza. kwa elimu Tundu lissu anayo towa inawasha moto ambao hauzimiki kwa upepo wa kisulisuli.
Ukishajua itakusaidia nini?
Kama Mtanzania Umefanya nini katika miaka 60? Unataka nani akujengee? Usilaumu ma Raisi , jilaumu wewe ni Zero brain at work.tindo, hawa Lumumba watakusumbua! wana extremely shallow reasoning! Wazungu walikuwepo na tulikuwa less that 10 milliion! Walichokijenga wakati ule kilikidhi mahitaji wa wakati ule! Ndiyo maana mtu wa darasa la ane ana uelewa kuliko University graduate wa sasa! Elimu yao ilikidhi mahitaji wa wakati ule! We are 60 millions, kinachofanywa na hawa wenzetu marais wetu ni chini sana ya uhitaji wetu wa leo! ya digital world!
Lisu alibebwa na akina Slaa na Lowasa na Mbowe akiachwa ajibebe Ni zero hawezi ndio maana alikuwa shocked kuona vyombo vyote vya habari vi me m ignore ujio wake .Sababu alidhani umaarufu wake Ni self made kumbe Ni made by Chadema as a party kupitia akina Mbowe,Slaa na Lowasa sio self made!!
Kutokana na ujuaji wake hata wenzie ndani ya Chadema wamemtelekezea zigo kusa wewe so unajitia mjanja kuwa you ate self made promote yourself kwenye media leave us as onlookers as you promote yourself!!! Alichokiona Ni life shocker part one Media zika mu ignore tukio ambalo kwake alidhani Ni world record event!!!
Ajiandae tu kisaikolojia . Wenzie akina Nyalandu wako humble kwa Mbowe na Chadema na Hotuba zao zote huonyesha kwanza appreciation kwa Mwenyekiti Mbowe na Chadema yeye speech zake zimeja Mimi, Mimi, Mimi,Mimi so Many Mimis!!!
Mimi kwenye hotuba zake Ni nyingi Hadi zinakera
Rasilimali gani?Wajerumani walijenga simple miundombinu kuraisisha kuiba mali za nchi na kusafirisha kwao ikiwemo madini, wanyama, watumwa, katani, na mazao mengine tofauti ili wakajenge nchi yao. Almost nchi zote za ulaya zimejengwa na Rasilimali za afrika
Lisu hana akili timamu
Tundu Lissu baada kutua kwenye ardhi ya Tanzania alijawa na furaha ilichanganyika na huzuni, utamu na uchungu.
Hakutegemea idadi ya Watanzania waliokwenda kumpokea na mapenzi waliyomuonyesha hakutegemea na yalimfariji sana.
Uchaguzi mkuu huu utakua ni referendum juu ya miaka mitano ya Urais wa Magufuli. Maana ya yake ni kuwa akiwa na agenda ya kujenga miundo mbinu, tutamwambia Wajerumani walianza kujenga miundo awamu ya kwanza walifanya, awamu ya pili, awamu ya tatu na ya nne.
Amesema hayuko huru sana, kwani waliomdhuru bado wanaitwa watu wasiojulikana. Lakini anaamini ni jukumu la vyombo vya usalama kulinda raia wake.
View attachment 1520465
Wajerumani walijenga simple miundombinu kuraisisha kuiba mali za nchi na kusafirisha kwao ikiwemo madini, wanyama, watumwa, katani, na mazao mengine tofauti ili wakajenge nchi yao. Almost nchi zote za ulaya zimejengwa na Rasilimali za afrika
zero brain ni mama yako!Zero brain
Tundu Lissu baada kutua kwenye ardhi ya Tanzania alijawa na furaha ilichanganyika na huzuni, utamu na uchungu.
Hakutegemea idadi ya Watanzania waliokwenda kumpokea na mapenzi waliyomuonyesha hakutegemea na yalimfariji sana.
Uchaguzi mkuu huu utakua ni referendum juu ya miaka mitano ya Urais wa Magufuli. Maana ya yake ni kuwa akiwa na agenda ya kujenga miundo mbinu, tutamwambia Wajerumani walianza kujenga miundo awamu ya kwanza walifanya, awamu ya pili, awamu ya tatu na ya nne.
Amesema hayuko huru sana, kwani waliomdhuru bado wanaitwa watu wasiojulikana. Lakini anaamini ni jukumu la vyombo vya usalama kulinda raia wake.
View attachment 1520465