Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wachawi hawaruhusiwiJumamosi nikipata muda nitaenda kwake tegeta kumsalimia.
Kenge ni mpaka damu imtoke masikioniHivi kuna ugumu gani jamaa zetu wa CCM kutamka wazi 'IMEKWISHA' na kukata roho kisiasa?
Mbona hilo lingetupunguzia malumbano yasiyo sababu hadi mataifa makubwa yanatujadili?
Kwaheri ukoloni Kwaheri CCM