Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awasili salama Dar es Salaam, atulia kwake kwa Mapumziko

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awasili salama Dar es Salaam, atulia kwake kwa Mapumziko

Lissu Nyumbani.jpg

Huo ni uso wa mshindi.
Uso wa ushindi umejaa furaha na upendo
Uso wa ushindi unaashiria utulivu
Uso wa ushindi unalinda amani
Uso wa ushindi unajenga umoja
Uso wa ushindi unahimiza uhuru
Uso wa ushindi unaahidi haki
Uso wa ushindi unaleta tumaini
Uso wa ushindi unaangaza njia
Asante sana Mh. Tundu Antiphas Lissu
Njoo ukamate usukani utufikishe salama...
Penye uhuru, haki na maendeleo ya watu.
 
Kweli wewe punga,Lissu kawa Mbunge kwa Mwaka mmoja?
Haya miaka tumpe 5, je utajiri huo unafanana na malipo ya miaka mitano ya Ubunge? Au na yeye anachota kama mlevi wa konyagi? ie michago ya wabunge na ile ruzuku ya 320million + ya kia mwezi? Chema tu njomba .. . khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
View attachment 1587510

Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa , na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28 , Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2 .
Kila la kheri Baba
Sisi waislamu wa kweli tupo na wewe
Kuna mamia ya mashekh zetu wanateswa bila kosa na serikali ya magufuli
Nimeshangaa kusikia Tanzania kwa miaka 4 katika uongozi wa magufuli wamewashikilia watu wengi kwa "" tuhuma "" za ugaidi kuliko Afghanistan. Iraq na Lebanon
 
Akaripoti central baada ya kupiga picha.
 
Acha we! Umesikia lile tamko la NISUGUEEEE! ?? Hivi huyo utamuitaje kama ni hivyo? Chungeni kauli zenu Mataga!
Kama ulimsikiliza Polepole usingesema hayo. CCM huwa hawabahatishi, mark my words tena sio kwa jembe la uhakika Jemedari JPM. Tupo hapa ngoma inadunda. Wenyewe mlikiri JK alikuwa dhaifu sasa ngoja uone udhaifu wa JP kama unapenda usikimbie tu maana hapa tunakwenda na kasi yake, sio kwa Saccos pekee hapa ulimwenguni.

Pato la taifa alipoingia Trillion 52 sasa tunachezea more than double (Trillion 124). International banks zilizopo Tanzania more than 50, unafikiri hawa wanafuata matango pori?
 
Kama unaijuwa sheria na katiba unaijuwa. Kama sheria ipo basi ipo kikatiba. Ipo sheria inayokataza ushoga na iko chini ya katiba hii. Je wewe unashabikia ushoga au unaupenda. Aandalia saana usijeandikishwa kwenye kundi.
Umeongea nini hapa? Mbona hueleweki?
 
Utafauti wangu mimi na wewe, ni kuwa wewe ni mshabiki wa chadema mtandaoni wakati mimi ni mwanachama wa chadema mtaani.
Hao kwemye picha karibu wote tunafahamiana na kama isingekuwa majukum niliyonayo leo basi ningeenda hapo kwa kuwa nilijua wataenda na niliambiwa...
unaipenda sana Chadema lakini kwa sasa hatupokei mamluki tena
 
View attachment 1587510

Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa , na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28 , Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2 .
Mpakwa mafuta wa Bwana amefika salama. Sifa na utukufu vimrudie Mwemyezi Mungu Bwana wa Majeshi
 
Hivi kuna ugumu gani jamaa zetu wa CCM kutamka wazi 'IMEKWISHA' na kukata roho kisiasa?
Mbona hilo lingetupunguzia malumbano yasiyo sababu hadi mataifa makubwa yanatujadili?
Kwaheri ukoloni Kwaheri CCM
Hehehee mazoea yana taabu.
 
Back
Top Bottom