Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Alipopumzika Magufuli mkadai amekata pumzi, akipumzika Lissu ni ushujaaView attachment 1587510
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa , na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28 , Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2 .