Haters at their peakWw mpuuz tu ,unafikr kuchukua nchi ni suala la kjipendekeza kwa Wazungu wanaotaka muwe mnapeana tigo,hilo msahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haters at their peakWw mpuuz tu ,unafikr kuchukua nchi ni suala la kjipendekeza kwa Wazungu wanaotaka muwe mnapeana tigo,hilo msahau
Na Leo anaingia kiwandani kabisa. Kwa mabalozi wenye dunia yao.Fundi yupo vacation akiweka mikakati ya kumponda kichwa 'nyoka' wa burigi, Chato!
Mungu ajibu maombi yetu kwa kweli nimemuomba mungu sana ccm iondoke madarakani.Hongera yake sana na Mungu wetu ni waupendo hakutaka taifa letu liangamie Tundu Lissu is our new president tunasubiria tarehe 28/10 ifike tuamuwe.
Wanajichanganya sana hawa polis sijui walisoma shule ganiSio Moshi tena?
Huko ndiko wanakoishi wapiga kura.Uswahilini sana kwake tatizo
mange alifanyaje? unamfanisha mange na Lisu? mange kapewa chake katulia tuliiiMbio za mange zilikuwa kama hizi
Jifunze kuandika.Haya miaka tumpe 5, je utajiri huo unafanana na malipo ya miaka mitano ya Ubunge? Au na yeye anachota kama mlevi wa konyagi? ie michago ya wabunge na ile ruzuku ya 320million + ya kia mwezi? Chema tu njomba .. . khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Na nyie mlie msapoti kipindi Kile mlipata ninimange alifanyaje? unamfanisha mange na Lisu? mange kapewa chake katulia tuliii
Ni yeyeHakika ni yeye
Atasema wasababishi c,c,mAcha alimbikize viporo. Siku vikichacha harufu yake ataisikia.
Heshimu wito. Haijarishi unaitwa na mjinga au mwelevu.
Wito huzaa jambo jema.
Duh! jamaa ana mjengo wa ki rais kabisa.
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28, Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2.
Ametumia usafiri wa barabara za lami au karuka na Air Tanzania?
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28, Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2.
Mkuu Erythrocyte nakuona hapo mstari wa mbele umepiga koti la bei mbaya na t shirt nyekundu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28, Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2.
Lissu si wa kupewa mikwara ya kijinga kama hii yako , Muulize kilichomkuta SirroAmetumia usafiri wa barabara za lami au karuka na Air Tanzania?
Katumia muda gani kutoka Kilimanjaro hadi Dar na kufika salama?
Je, kaikuta familia yake iko salama kabisa hapo Dar es Salaam na wanaendelea kufurahia maisha salama salmini.
Akiweza kujibu hayo kwa uchache aache ujinga na kuropoka.
Nani atakuruhusu wew kibwengu wa lumumba aka wakala wa jiweJumamosi nikipata muda nitaenda kwake tegeta kumsalimia.
Nyie vijana mbona mna macho makali sana jamani ! 😆😆😆Mkuu Erythrocyte nakuona hapo mstari wa mbele umepiga koti la bei mbaya na t shirt nyekundu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Acha uduanziAmetumia usafiri wa barabara za lami au karuka na Air Tanzania?
Katumia muda gani kutoka Kilimanjaro hadi Dar na kufika salama?
Je, kaikuta familia yake iko salama kabisa hapo Dar es Salaam na wanaendelea kufurahia maisha salama salmini.
Akiweza kujibu hayo kwa uchache aache ujinga na kuropoka.
PUMBAVUUUUUUUnajua kujinyonga wewe mwenyewe?
Kama hujui acha aendelee kujinyonga kwa kiburi chake.
Kamba ya kujinyengea siyo lazima iwe kamba , hata simba ukiwachokoza wanatkutafuna kwa meno nayo utakufa.
Huyu amejitumbukiza kwenye ziwa la visu na mapanga, bunduki na mabomu.
Je kifo siyo halali yake?
Acha risasi zimtwange atajijua yeye mwenyewe.
Chagua CCM 28 Oct.