Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Fundi yupo vacation akiweka mikakati ya kumponda kichwa 'nyoka' wa burigi, Chato!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna ugumu gani jamaa zetu wa CCM kutamka wazi 'IMEKWISHA' na kukata roho kisiasa?
Mbona hilo lingetupunguzia malumbano yasiyo sababu hadi mataifa makubwa yanatujadili?
Kwaheri ukoloni Kwaheri CCM
Kuna sehemu una shida kwenye ubongo, hivi Hadi sasa hivi bado hujafanyiwa 'medical checkup' hapo Lumumba maana uandishi wako ni tabu sana!Sasa kudanganya kutasaidia nini!!! Inaonyesha.. umeona huyo munamufata bila breki.. siyo ulidhani.. [emoji2][emoji2][emoji2] pole..
No ya dola ni fata sheria, kanuni na siwo maagizo ya wasio wa nchi hii..
Ila mwaka huu.. bora mujiunge tu na Jembe Magufuli mapemaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muwe mnasoma mnachoandika
Kuna sehemu una shida kwenye ubongo, hivi Hadi sasa hivi bado hujafanyiwa 'medical checkup' hapo Lumumba maana uandishi wako ni tabu sana!
AminaBwana wa Majeshi ahimidiwe milele na milele
For youMkombozi wa Taifa!
28.10.2020 nitaenda kupiga kura yangu kwa ajili ya watanzania wote nitampigia Lisu na madiwani wa upinzani Mungu ibariki Tanzania sasa tumepata mgombea wa upinzani wa kweli
Hebu chagua hapo ipi inayokutosha Kati ya hizo [emoji116][emoji116]
Onyesha 'uzalendo'!View attachment 1587673
Kampeni zenye mafanikio? Atapata hata kura 200000?View attachment 1587510
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa , na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28 , Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2 .
Mkuu utanistua tukamjulie hali maana salamu ndio utamaduni wetu.najua watu kama Jingalao, Mama D, Jane Lowassa,n.k wataungana nasi kumjulia hali Mtanzania mwenzetu.Jumamosi nikipata muda nitaenda kwake tegeta kumsalimia.
Ww mpuuz tu ,unafikr kuchukua nchi ni suala la kjipendekeza kwa Wazungu wanaotaka muwe mnapeana tigo,hilo msahauKawashauri hayo Nzi wenzio wa kipundupindu kwenye group lenu.
Na Mungu akubariki28.10.2020 nitaenda kupiga kura yangu kwa ajili ya watanzania wote nitampigia Lisu na madiwani wa upinzani Mungu ibariki Tanzania sasa tumepata mgombea wa upinzani wa kweli