Hii inaitwa Sudden unexpectedChama Changu Cha Mapinduzi hawaamini kinachotokea. Upepo sio mzuri, dalili ni mbaya kabisa. Haikutarajiwa hata kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaitwa Sudden unexpectedChama Changu Cha Mapinduzi hawaamini kinachotokea. Upepo sio mzuri, dalili ni mbaya kabisa. Haikutarajiwa hata kidogo
Bwana wa Majeshi ahimidiwe milele na mileleTunamshukuru Mungu kwa ukuu wake
Wacha nimeona umekasirika kwa emoji,😠 je hukupenda Tundu Lissu afike nyumbani salama?Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee endeleeni kujifariji khe heeeeeeeee
Sema taifa la wapenda haki,Uhuru na maendeleo linaenda kuonekana soon.Taifa la wajinga wa Saccos.
Kwani wewe unaishi wapi Guatemala au si wote tupo humu humu kwenye Taifa la wajingaTaifa la wajinga wa Saccos.
Ndio maana Tunduma hasira zilikuwa kali sana.Chama Changu Cha Mapinduzi hawaamini kinachotokea. Upepo sio mzuri, dalili ni mbaya kabisa. Haikutarajiwa hata kidogo
Muwe mnasoma mnachoandikaMpakwa mafuta wa Bwana amefila salama. Sifa na utukufu vimrudie Mwemyezi Mungu Bwana wa Majeshi
[emoji3][emoji3] amemaanisha.Muwe mnasoma mnachoandika
Kikosi cha kazi. Hongereni sana.View attachment 1587510
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa , na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28 , Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2 .
Mnazidi kumpa umaarufu tu na kumuongezea kura za huruma hata kwa ambao hawakuwa na mpango wa kumpigia kuraKama akimalizana 'Salama' na IGP Sirro pamoja na 'Police Tanzania' yake.
Anaishi nyumba ya gorofa moja halafu sisi anatuzuia kumiliki kitambulisho Cha machinga ili mgambo wa jiji watufilisiMkombozi wa Taifa!
Anaishi nyumba ya gorofa moja halafu sisi anatuzuia kumiliki kitambulisho Cha machinga ili mgambo wa jiji watufilisiMkombozi wa Taifa!
Wakubwa wanaendaga kupumzika kijijini msoga chato mkuranga yeye anaenda Dar, ikungi Hana nyumba?Wapi.mapunziko? Kwa uongo hamjambo mtu anaenda hojiwa tume ya maadili mnaita mapumuziko!!!
Ha ha ha yani lile genge la Mbowe ndio taifa?. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda.Mkombozi wa Taifa!
Chadema chini ya Mbowe, ni utopolo tu. Hamna la kufanya, mmenasa kwa mweTaifa la wajinga wa Saccos.
Akili za kikoloni hizi. Tegemea kuvuna upepo.Mkombozi wa Taifa!
Hakika.Hana tofauti na Mange