mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Aisee Countrywide nipitie twende pamoja. Hata nikashike mkono tu huyu mkombozi wa taifa!Jumamosi nikipata muda nitaenda kwake tegeta kumsalimia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee Countrywide nipitie twende pamoja. Hata nikashike mkono tu huyu mkombozi wa taifa!Jumamosi nikipata muda nitaenda kwake tegeta kumsalimia.
Hivi faizafoxy yupo salamu popote alipoKenge ni mpaka damu imtoke masikioni
Endeleni na dharau zenu ipo sikuMbio za mange zilikuwa kama hizi
Ndio kuzuri unataka akae masaki kwenye yale maeneo walioganaUswahilini sana kwake tatizo
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28, Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2.
si ujeuri bali police wafuate sheria za wito kwa mtuhumiwa!!Dah, Lissu kweli ni kichwa ngumu aisee...yaani ametakiwa na AiJiiPii kuripoti kituo cha Polisi mkoani Kilimanjaro na kachimbwa biti zito. Halafu yeye Lissu anatia zake timu kwake Dar es Salaam 😂
Huu mtanange wa mwaka huu ni mtamu usipime...upele umempata mkunaji.
Mungu mbariki Rais wetu.
Unasemaaa? Ongeza sauti Mambosasa na Sirro wakusikie...(Sirro niliona akinadi mabinti zake anaweza kukupa mmoja)Akaripoti central baada ya kupiga picha.
Ohooo!! Au ni Tia maji Tia maji ?Yule mwingine mapumziko siku 9-1
Pamoja na Posho na pensheni ya Ubunge hakupata kabisahapo ndo nyumbn kwake mwamba?
Atashindwa vibaya mno huyo kibaraka wenu, na baada tu ya ushindi lazima apate tabu sana
Baada ya kampeni nzito zenye mafanikio makubwa na ambazo zimemuweka kwenye nafasi kubwa ya kutwaa Urais wa nchi ifikapo oktoba 28, Mh Lissu na timu yake wamewasili salama Jijini DSM kwa mapumziko ya siku 2.
Mimi ndio maana hata Lissu asishinde uchaguzi sina shida. Ila alipopashika akaze hapo hapo kwenye korodani asiachie. Na kwa kupiga spana namna hiyo jina lake litakaa milele kwenye siasa za Tanzania.Dah, Lissu kweli ni kichwa ngumu aisee...yaani ametakiwa na AiJiiPii kuripoti kituo cha Polisi mkoani Kilimanjaro na kachimbwa biti zito. Halafu yeye Lissu anatia zake timu kwake Dar es Salaam 😂
Huu mtanange wa mwaka huu ni mtamu usipime...upele umempata mkunaji.