We nishakwambiaga siku nyingi Reasoning Capacity yako ndogo, unadanganya ili upate nini?, Unachukua picha Google unaiandika SERA MBADALA ili ku gain nini?, Au mmeona mgonjwa kasahaulika mkaamua kuleta uongo humu?Sasa kama ni photo shop wewe inakuumiza nini?
In God we trust
Basi hata January Makamba alitumia na hakuwa Rais. Najua kumbukumbu imekata. Mnatakiwa muwekwe Museum ili watu walipie kuja kuwaona sababu ya mbinu mnazotumia kisiasa. Tena huku mkijua kuwa mpinzani wenu ni mbobezi.
We nishakwambiaga siku nyingi Reasoning Capacity yako ndogo, unadanganya ili upate nini?, Unachukua picha Google unaiandika SERA MBADALA ili ku gain nini?, Au mmeona mgonjwa kasahaulika mkaamua kuleta uongo humu?
Umeliona basi ORIGINAL????.... Acha hilo feki la PHOTOSHOP. NYUMBU wewe.Labda kama ana ndugu yeyote ubelgiji
In God we trust
hawakawii kusema kodi yake ni mara kumi ya bei yake...Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Ha! Ha! Ha! I say inaweza ikatokeaLikiingia bandarini litadaiwa kodi ya kwanzia 1992 kipindi ambacho vyama vingi vimeanzishwa ata kama manufactor date ni 2018
We nishakwambiaga siku nyingi Reasoning Capacity yako ndogo, unadanganya ili upate nini?, Unachukua picha Google unaiandika SERA MBADALA ili ku gain nini?, Au mmeona mgonjwa kasahaulika mkaamua kuleta uongo humu?