Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Uvccm hakuna aliye msafi ndani ya ccm
Si walisema ataenda kuonana na Papa hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

In God we trust
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
utashangaa serikali wana indose KODI sana kwa hili basi
 
Uvccm hakuna aliye msafi ndani ya ccm

In God we trust
Vipi hii gari itaingia lini Tz?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Mkubwa!! Yaani kiongozi ambaye anawajibika anaweza kuhangaika na zawadi ya gari? HAlafu unatoa pongezi! CHADEMA kwa ruzuku zao wanashindwa kununua mabasi ya aina hii kama wanaona ni mtaji wa kisiasa?

CHADEMA walikuwa na magari kibao wakati wa uchaguzi. Leo hii yako wapi?
 
Ccm wamezoea kusombwa na canter, fuso, mbaula, jeifongo, trekta + jero jero Sasa ndinga kama hii wivu na jasho hadi mfereji wa Suez vinawahusu
Umesahau maguta

In God we trust
 
Mkubwa!! Yaani kiongozi ambaye anawajibika anaweza kuhangaika na zawadi ya gari? HAlafu unatoa pongezi! CHADEMA kwa ruzuku zao wanashindwa kununua mabasi ya aina hii kama wanaona ni mtaji wa kisiasa?

CHADEMA walikuwa na magari kibao wakati wa uchaguzi. Leo hii yako wapi?
hao CCM ruzuku wanayopta wamewahi kununua gari kama hili..... Hata kampeni wanatumia magari ya serikali, acha ufala wewe
 
Mkubwa!! Yaani kiongozi ambaye anawajibika anaweza kuhangaika na zawadi ya gari? HAlafu unatoa pongezi! CHADEMA kwa ruzuku zao wanashindwa kununua mabasi ya aina hii kama wanaona ni mtaji wa kisiasa?

CHADEMA walikuwa na magari kibao wakati wa uchaguzi. Leo hii yako wapi?
Yapo hapo yanawasaidia hata wana ccm walio telekezwa na maguta
FB_IMG_1550591014115.jpeg


In God we trust
 
✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼

Alutta continua! CONTINUA!

Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
 
Huyu mleta mada kweli mbishi, kaonyeshwa ushahidi kuwa katumia Photoshop bado anatetea Uzi wake.
 
Si walisema ataenda kuonana na Papa hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Mkuu hebu anzisha Uzi utupie ile picha original ya basi kuwaumbua hawa NYUMBU.Kila siku wanakuja na story za kutunga.
 
HII scania ni original kwa kweli! Humo ndani Huenda fuluuu Wi-Fi. Tutakimbizwa hapa na Maoist ya hatareee. Machadema yatatamba Sana. yataisukuma hiii hadi noma Mikoani kote. Nawaza itakavyoenda Mikoani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Miji shughuli zitasimama kushangilia bado hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hata January Makamba alitumia na hakuwa Rais. Najua kumbukumbu imekata. Mnatakiwa muwekwe Museum ili watu walipie kuja kuwaona sababu ya mbinu mnazotumia kisiasa. Tena huku mkijua kuwa mpinzani wenu ni mbobezi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom