Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Nasikuia Tundu Lisu atapanda hilo bus hadi Vatican kupata chakula cha jioni na Papa Francis.

Ngoja utasikia vizur siku baba ako akianza kulia mjengoni na kuwatuma watu wake wafanye kazi ya kumzima lissu mana hii tu amebadili safu ya washambuliaji mbele ila mi nasubir mkulu 2020 jukwaani nimshangilie zile push up za kubana mawowowo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah...bonge la bus, scania na sio hizi tecno zetu zinazolipuka kila siku barabarani.

Sasa ataliendeshaje hadi bongo? Atakuja nalo?? Nimekumbuka dereva wake yuko hukohuko, sio inshu atakuja nalo.
 
Picha ya photoshop, ukitaka kujua izoom kwenye hiyo nembo ubavuni pia hayo maneno yazoom karibu. Utaona mapungufu mengi.
Kwa wanaojiita wataalam wa graphics, mmejifunza graphics kwenye simu za tochi kama mnaona hii ni OG.
 
Sabodo alikua anawapa milioni mia na kitu za kukiimarisha chama mkazigeuza kwa matumzi binafsi,tusishangae na hili basi
 
Picha ya photoshop, ukitaka kujua izoom kwenye hiyo nembo ubavuni. Utaona mapungufu mengi.
Kwa wanaojiita wataalam wa graphics, mmejifunza graphics kwenye simu za tochi kama mnaona hii ni OG.
Tatizo mnadhania nyinyi ndiyo wajuzi wa kila kitu hapa ni JF kuna wataalam wa kila fani

In God we trust
 
Mjiandae kulipa 110billion za konoike
Sabodo alikua anawapa milioni mia na kitu za kuimakisha chama mkaziguza kwa matumzi binafsi,tusishangae na hili basi

In God we trust
 
Sawa tunasubiri azawadiwe na private jet ya kumsaidia kufanya talk shows.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…