Huwezi kumkubali na hautomkubali daima maana ameshinda mitego yenu yoote mliyo mtega na yupo tayari kulisukuma gurudumu la kuiendeleza cdmNi kweli kabisa ndio maana siku zote simkubali kabisa Mbowe na Genge lake.
Wameharibu sana harakati za kudai Demokrasia Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi halijahakikishiwa hata usafirishwaji ila kuna watu wamechanganyikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala siumii mmawiaUnaumia kitu gani wewe wakati bundle humnunulii wewe?
In God we trust
Wala siumii mmawia
Nimeona imepikwa sana na ukweli umewekwa
Sasa ingewekwa kwenye jukwaa la jokes basi
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Sasa bus ni la Lissu au chama ngoja lije Mwenyekiti akabebee mbogamboga kule Hai
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unataka kuwafanya admin hawana akili?uzi wa kubumba ndiyo ungechukua masaa 24 upo tu?mbona mnadhalau sana ?
In God we trust
Wivu wa vigori huuSasa bus ni la Lissu au chama ngoja lije Mwenyekiti akabebee mbogamboga kule Hai
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unataka kuwafanya admin hawana akili?uzi wa kubumba ndiyo ungechukua masaa 24 upo tu?mbona mnadhalau sana ?
In God we trust
PHOTOSHOP.......!!!!!?!!Sasa bus ni la Lissu au chama ngoja lije Mwenyekiti akabebee mbogamboga kule Hai
Sent using Jamii Forums mobile app