Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa zote za dunia na Ulaya zinafanyikia Brussels ubelgiji!.. Ukitaka jua wanafiki wako, wapendwa wako, mitizamo ya wenzio kalete umbeya ubelgiji utaijua!..Kwanini mkuu?
kila uchaguzi ukifika mtakuwa mnasema hivyo mwisho umefika tunashinda mnasubiri miaka mitano kushtukia dunia imeisha bado mnasubiri tuMwisho wenu umefika
Wanachadema mnanikosha sana na mambo yenu pamoja na kunyanyaswa na serikali lakini mnaenda slowly but sure. Naombeni kujiunga na chama chenu jamani 2020 kura yangu na mkewangu nawapa chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok.Kwakuwa wewe ni mtabiri sikulaumu
In God we trust
Na nyie mbona hamtulii kutwa kutubambikizia kesi na kutuzuia tusifanye mikutano mnaogopa nini?kila uchaguzi ukifika mtakuwa mnasema hivyo mwisho umefika tunashinda mnasubiri miaka mitano kushtukia dunia imeisha bado mnasubiri tu
Kabisa.nimewapenda sana chademaKaribuni sana mkuu maana elimu haina mwisho tunaona nawe umeipata elimu yetu ya kujitambua
In God we trust
We taaira kweli..kwaiyo kila anayewakosoa ni Lowassa? We unaona ni sawa kwa watu wazima kupost shuzi kama iyo....kama ni habari njema weka picha za ukweli ...photoshoot! What for?Kamalizaneni na lowasa kwanza ndio mje kuchonga huku
In God we trust
Mizizi imekatwa - wataombea hata baiskeli siku si nyingi - waliokuwa wanaishi kama malaika sasa wataishi kama mashetani wa londoni
Mkafrend anauza nchi IPI!?,wauaji wakubwa nyie!.Afe nani kwa matoi hayo - CCM iko level nyingine - acha LIssu aendelee kula mikataba ya kuuza nchi
Hongereni
Limeshafika au hewa liko mitandaoni? Hivi likifika mtapaki wapi ofisi ya CCM kinondoni au wapi.Maana pale makao makuu ya chadema hamna sehemu hata ya kupaki baiskeli.CCM kinondoni Nawaomba muwaruhusu chadema walipaki hapo kwenu kule kwao hakuna nafasi.Asije Mbowe akasema likapaki kwake akaligeuza dalaldala.
hakuna mtu anabambikiwa kesi nyie wahuni lazima mkae ndani tuu hivi kama huyo kiongozi wenu anafanya uhuni hazarani huku anakesi kwanini asinyimwe zamana uhuni tu huoNa nyie mbona hamtulii kutwa kutubambikizia kesi na kutuzuia tusifanye mikutano mnaogopa nini?
Fanya haraka mkuu.CCM si watu.Wataloga lipotee
Wamechelewa tayari kitu kipo hewani. Nimeangalia na mchepuko wangu umeisave aiseeFanya haraka mkuu.CCM si watu.Wataloga lipotee