Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Zimewashinda amenyewea kimya kama amemaliza anajisaulisha.mmezirudisha kwa wakulima wapi bado zimejaa maghalani.KABLA YA MABASI TIMIZENI HILI ALIAHIDI SIKU 2 ATALIPA MPAKA SASA 50%MAKUSANYO BADO.
CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
tapatalk_jpeg_1550950906922.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisha kublock kwa kuwa una mambo ya kitoto zaidi

In God we trust
Hujaanza wewe kublock watu wanaoonesha kukushinda HOJA. Jibu swali hii ya chadema umeitoa wapi?ipi fake kati ya hizi mbili?
tapatalk_1552395006163.jpeg
tapatalk_1552395019100.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Yapo 10 mkuu siyo 1 kama ilivuoripotiwa. Kufa tu hamna namna
Ivi unajielewa kweli ww? Sasa mimi naumia nini wakati nataka John Pombe atolewe Ikulu???? Kwaiyo nikiona watu wa kumtoa wanapata vifaa na zana well then it is a good news!

My point was, nyie BAWACHA Acheni ukanjanja wa kama huo eti mnaphotoshoot muonekane mmenua basi...yani ujinga ujinga tu.....sasa mnakua hamna tofauti na UWT.

Sidhani kama mwenyekiti wenu Halima Mdee kaona huu upumbavu wa photoshoot mnaouleta hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Nadhani wewe ndiye mjinga unahesabu hata vitu visivyo mbwembwe kuwa mbwembwe. Na haujui JKT Oljoro wana basi kwa shughuli za JKT na CDM wana basi kwa shughuli za chama. Kama haulijui hilo, huo nao si ujinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushahidi wa adui CCM hatuupokei

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sio mahakaman, swala inatakiwa mthibitishe taarifa zenu.Au hizi taarifa hamkujiandaa kuzifafanua?Tufanye hiyo gari ni sahihi,je mmeitoa wapi hiyo Habari?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Nadhani wewe ndiye mjinga unahesabu hata vitu visivyo mbwembwe kuwa mbwembwe. Na haujui JKT Oljoro wana basi kwa shughuli za JKT na CDM wana basi kwa shughuli za chama. Kama haulijui hilo, huo nao si ujinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu afadhali umempatia elimu labda atajirudi

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom