Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaaaaWataumwa sana na vichomi lkn kwa cdm hii ni fireeeee
In God we trust
Ipi fake mkuu?View attachment 1044029View attachment 1044030
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
We utaon mkuu labda jiwe asiwepoHakuna jambo la ajabu chini ya jua
In God we trust
Hii basi inyakuliwe na serikali kisha wapewe UVCCM# Ubaya Ubaya tuCCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Zimewashinda amenyewea kimya kama amemaliza anajisaulisha.mmezirudisha kwa wakulima wapi bado zimejaa maghalani.KABLA YA MABASI TIMIZENI HILI ALIAHIDI SIKU 2 ATALIPA MPAKA SASA 50%MAKUSANYO BADO. View attachment 1044032
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaanza wewe kublock watu wanaoonesha kukushinda HOJA. Jibu swali hii ya chadema umeitoa wapi?ipi fake kati ya hizi mbili?Nisha kublock kwa kuwa una mambo ya kitoto zaidi
In God we trust
Ivi unajielewa kweli ww? Sasa mimi naumia nini wakati nataka John Pombe atolewe Ikulu???? Kwaiyo nikiona watu wa kumtoa wanapata vifaa na zana well then it is a good news!
My point was, nyie BAWACHA Acheni ukanjanja wa kama huo eti mnaphotoshoot muonekane mmenua basi...yani ujinga ujinga tu.....sasa mnakua hamna tofauti na UWT.
Sidhani kama mwenyekiti wenu Halima Mdee kaona huu upumbavu wa photoshoot mnaouleta hapa
Nadhani wewe ndiye mjinga unahesabu hata vitu visivyo mbwembwe kuwa mbwembwe. Na haujui JKT Oljoro wana basi kwa shughuli za JKT na CDM wana basi kwa shughuli za chama. Kama haulijui hilo, huo nao si ujinga?Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Ushahidi wa adui CCM hatuupokeiYetu hii View attachment 1044017
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Hapa sio mahakaman, swala inatakiwa mthibitishe taarifa zenu.Au hizi taarifa hamkujiandaa kuzifafanua?Tufanye hiyo gari ni sahihi,je mmeitoa wapi hiyo Habari?
Mkuu afadhali umempatia elimu labda atajirudiNadhani wewe ndiye mjinga unahesabu hata vitu visivyo mbwembwe kuwa mbwembwe. Na haujui JKT Oljoro wana basi kwa shughuli za JKT na CDM wana basi kwa shughuli za chama. Kama haulijui hilo, huo nao si ujinga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kiroboto wa ufipa anajifanya haoni.Hujaanza wewe kublock watu wanaoonesha kukushinda HOJA. Jibu swali hii ya chadema umeitoa wapi?ipi fake kati ya hizi mbili?View attachment 1044037View attachment 1044038
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.