Timm Wu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 505
- 1,360
Anaweza kuahirisha kwenda China (kama atathubutu kupanda ndege na hicho ki-pace maker)!Jamani jamani mtaua watu kwa pressure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kuahirisha kwenda China (kama atathubutu kupanda ndege na hicho ki-pace maker)!Jamani jamani mtaua watu kwa pressure
Mbona ni photo shop tu hakuna kitu hicho. Cdm mko desperate sana mumeishiwa kabisa. Basi ubeljiji la chadema hata kama ni kweli litafanya nini. Labda alilete singida kubeba abiria.Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
kwa nilijuavyo jiwe, hilo basi litaozea bandarini likiwa ktk harakati za kukanyaga bongo !
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa nilijuavyo jiwe, hilo basi litaozea bandarini likiwa ktk harakati za kukanyaga bongo !
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnashindwa nini sasa kuamua?CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Hicho ndo chama kikuu cha Upinzani Tanzania na makanda wake meno nje nje , Rubbish & Nonsense
Sent using Jamii Forums mobile app
the stupid ones are full of confidence like you! Kama unadhani kuwa una akili kuliko wengi wetu humu unajidanganya kwani wenye akili hawabishanagi sana wala hawamezwi na="MISULI, post: 30717414, member: 199675"]We unajiona una AKILI?Wenye akili wote wamedoubt hiyo picha ila wapuuzi wote wamekata mauono mushangilia. Soma signature yangu hapo chini.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Uzi ukiwa chini ya Mmawia huwa hakuna kinachoharibika. Comments zaidi ya 600 maCCM yamekuwa kama mazuzuUtaweweseka sana ila ukweli unabakia palepale kuwa hilo bus ni mali ya cdm siyo ya ccm
In God we trust
Sawa lakin wadau wanamsubiri kwa hamu arudi! Sijui wanamtaka nin lissu wa watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakua wewe ni Mungu?Azurure nalo huko ulaya lakini ardhi ya Tanzania hakilanyagi ng'o!! labda kama wana bandari yao
Hapo kwenye mikataba ya kuuza nchi. Naomba uniambie mikataba hiyo.. na akina. Nani wanahusika.. maana nimekuwa nikisikia mashtaka mengi sana kuhusu lisu lakin hakuna ushahid.. kama utakuwa nao pls nitumie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thubuti mjingaTatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.