Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Usisahau kunahitajiwa kulipwa 110billion za konoike

In God we trust
Mkuu habari ya KONOIKE haiondoi ukweli kwamba umechukua picha Google, ukabandika chata kwenye computer yako ukaleta Uzi hapa eti Lissu kazawadiwa na NYUMBU wenzako wakakata mauno.Tangu mchana umekomalia huu uongo.Inaonyesha una akili za kitoto sana, tumekuwekewa mpaka picha Original bado unatetea huu UPUMBAVU.
 
Nami siwezi kutoamini ninacho kiamini sababu ya watu wa buku 7 waramba miguu wa chakubanga
Mkuu habari ya KONOIKE haiondoi ukweli kwamba umechukua picha Google, ukabandika chata kwenye computer yako ukaleta Uzi hapa eti Lissu kazawadiwa na NYUMBU wenzako wakakata mauno.Tangu mchana umekomalia huu uongo.Inaonyesha una akili za kitoto sana, tumekuwekewa mpaka picha Original bado unatetea huu UPUMBAVU.

In God we trust
 
Wewe ndiyo utakuwa ni kiongozi wa wapumbavu wenzako wa lumumba kama unaona vibaya kupata kwa jirani yako sheitwani mkubwa wewe
Mkuu habari ya KONOIKE haiondoi ukweli kwamba umechukua picha Google, ukabandika chata kwenye computer yako ukaleta Uzi hapa eti Lissu kazawadiwa na NYUMBU wenzako wakakata mauno.Tangu mchana umekomalia huu uongo.Inaonyesha una akili za kitoto sana, tumekuwekewa mpaka picha Original bado unatetea huu UPUMBAVU.

In God we trust
 
Wewe ndiyo utakuwa ni kiongozi wa wapumbavu wenzako wa lumumba kama unaona vibaya kupata kwa jirani yako sheitwani mkubwa wewe

In God we trust
Kwahiyo unaamini mmepata basi kutoka Google!????... Kweli wewe ni wa kuhurumia, nilikuwa najua upeo wako ni mdogo na Leo kwa kuleta basi kutoka Google eti Lissu kazawadiwa ndo nimeamini nilikuwa sahihi. Na gazeti lenu la Tanzania Daima wanaweza wakaandika hii habari ukurasa wa mbele wa gazeti.Kweli mmeishiwa.
 
wambieni lumumba diaspora Ubeljij imetunuku basi Chadema.Wambieni lumumba basi nj la kampeni mgombea urais wa upinzani.Wambieni lumumba pata shika 202o dunia itatikisika.
 
Lumumba sasa hivi wamebakia wanalazimisha tuamini propaganda zao na tukizipuuza wanatukana tu
wambieni lumumba diaspora Ubeljij imetunuku basi Chadema.Wambieni lumumba basi nj la kampeni mgombea urais wa upinzani.Wambieni lumumba pata shika 202o dunia itatikisika.

In God we trust
 
Wewe akili zako ni za kichawi tu na ukitaka ujinyonge,maana huna faida hata kwa jamii yako
Kwahiyo unaamini mmepata basi kutoka Google!????... Kweli wewe ni wa kuhurumia, nilikuwa najua upeo wako ni mdogo na Leo kwa kuleta basi kutoka Google eti Lissu kazawadiwa ndo nimeamini nilikuwa sahihi. Na gazeti lenu la Tanzania Daima wanaweza wakaandika hii habari ukurasa wa mbele wa gazeti.Kweli mmeishiwa.

In God we trust
 
Dalili halisi za kufeili ziara za mgonjwa Lissu ughaibuni. poleni washabiki wa mtaalamu wa uanasheria wa kiharakati!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom