Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Yaani mtu anajisifia na kusifiwa kabisa kwa Photoshop
Tuwe makini jamani

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Hamna shida.TRA inamsibiri.Thamani ya hilo gari ni mil 190,000,000. Na kodi yake inaeleweka.
 
Hii ndio picha OG ya bus,chadema sijui wanataka kumdanganya nani na kwafaida ipi maujinga tu ndo yamejaa ufipa.
images.jpeg
 
Shida sio nani katekwa bali nani mtakaji. Na kwa nini ateke. Na kwa nini aue watu wa tabaka fulani mfano mmoja tu nadhani unakumbuka idadi na aina ya watu waliouliwa Mkuranga, Rufiji na Kibiti. Ikiwa ni pamoja na askari na Viongozi wa Serikali za Vijiji na Vitongoji. Fikiria hapo kwanza. Kisha nitakupa mifano mingine zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app

..kuna kikundi cha kigaidi ndicho kilichokuwa kinaua viongozi wa serekali na ccm maeneo ya mkuranga-kibiti-rufiji.

..kikundi hicho inasemekana kina mahusiano na kikundi kingine kilichoko kaskazini ya Msumbiji ktk jimbo ambako imegundulika hazina kubwa ya gesi.

..kuna kikundi kingine kilichokuwa kikishughulikia viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani.

..Vyombo vya dola vingekuwa huru na wawazi vingeshughulika na vikundi hivyo viwili na kuwafikisha wahusika mbele ya vyombo vya sheria/mahakama.

..So far, inaelekea walioshughulikiwa ni kile kikundi cha magaidi wa mkuranga-kibiti-rufiji. Lakini serekali haijaeleza wahusika walikuwa ni kina nani, na kwanini walikuwa wakiua viongozi wa serekali na CCM.

..Wakati huohuo serekali imeonyesha kutokujali kabisa kuhusu kupotezwa na kuuwawa kwa viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani.

NB.

..katika kushughulika na magaidi wa mkuranga-kibiti-rufiji kuna wananchi zaidi ya 300 inatuhumiwa walichukuliwa na vyombo vya dola ktk maeneo mbalimbali.

..kuna madai ya wengine kutukuonekana kabisa, na waliobahatika kurudi majumbani kwao wamerudi wakiwa na majeraha au vilema.

..kuna tukio la mbunge mmoja wa kusini kumpeleka mhanga wa operation iliyofanyika kusini kwa waziri mkuu, na inasemekana waziri mkuu alisikitishwa na hali ya mwananchi huyo.

Cc Mmawia , tindo
 
Hili ndilo basi halisi, Lissu kapewa basi kutoka Google Images na Photoshop..

scania touring de vip bus - Пошук Google

Screenshot_20190312-230438.png


Acheni UPUMBAVU hii ishu nzima ni uongo, mliotoa Likes wote mmelisha matango pori hii habari nzima Ina uhusiano wa karibu Sana na PHOTOSHOP. Mmeingizwa mkenge na mleta mada. Bado sielewi dhumuni lake na kakomaa kweli na Uzi wa uongo 120%.
 
Jamii Forums imekuwa kijiwe cha uzushi Kama Facebook na moderators wameshindwa kazi yao. Mtu anaanzisha uzushi na tangu Jana tumetupia Link ilipotoka picha ya hilo basi ikapitishwa PHOTOSHOP na kuletwa humu eti kazawadiwa Lissu basi.Tangu lini basi LUXURY ambalo Ni FULL AC vioo havifunguki likapigwa rangi kwenye vioo?,abiria wataonaje nje?
Screenshot_20190312-230438.png


scania touring de vip bus - Пошук Google
 
Inajionyesha kuwa uelewa wako ni mdogo sana na unadhania kila jf member mpo level moja kwa kuwa wote mpo jf wengine tunaongelea jambo tuna uhakika nalo
Jamii Forums imekuwa kijiwe cha uzushi Kama Facebook na moderators wameshindwa kazi yao. Mtu anaanzisha uzushi na tangu Jana tumetupia Link ilipotoka picha ya hilo basi ikapitishwa PHOTOSHOP na kuletwa humu eti kazawadiwa Lissu basi.Tangu lini basi LUXURY ambalo Ni FULL AC vioo havifunguki likapigwa rangi kwenye vioo?,abiria wataonaje nje?View attachment 1045054

scania touring de vip bus - Пошук Google

In God we trust
 
Utapata vidonda vya tumbo bure kwa kutema nyongo kwa hasira kama green mamba
Hili ndilo basi halisi, Lissu kapewa basi kutoka Google Images na Photoshop..

scania touring de vip bus - Пошук Google

View attachment 1045040

Acheni UPUMBAVU hii ishu nzima ni uongo, mliotoa Likes wote mmelisha matango pori hii habari nzima Ina uhusiano wa karibu Sana na PHOTOSHOP. Mmeingizwa mkenge na mleta mada. Bado sielewi dhumuni lake na kakomaa kweli na Uzi wa uongo 120%.

In God we trust
 
Watu wapo tayari kulipa tu ili mradi gari litue nchini
Hamna shida.TRA inamsibiri.Thamani ya hilo gari ni mil 190,000,000. Na kodi yake inaeleweka.

In God we trust
 
Mlipo mtandika mvua ya risasi hamkuwa mnafikiria hayo?
inawezekana kabisa pesa alizokua anachangiwa kwa ajili ya kujikimu ndo kanunua hilo bus ili kuvuta attention ya wanachadema wampitishe kugombea urais, huko sisi hatuiingilii nyie chadema paruaneni makucha na bus lenu mwisho wa siku mpitisheni mwingine kugombea urais mbali na lisu...hapo ndo mtashuhudia mpasuko wa chama chenu, lisu atakasirika na kujiunga na chama dume afrika-ccm

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom