Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiyo unateseka kwenye threads za wenzako kisa umelipwa buku 7 na chakubangaMkuu mbona unateseka sana?Unajitahid sana kumbrand lisu,kaza buti huenda utakua konda kwenye basi lake.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Mkuu huwezi kunirudishia matusi kwa sababu sijakutakana na wala kukudhalilisha...kwanza sitakurudishia MATUSI uliyofurumusha.
..vilevile sitakuripoti kwa moderator, ingawa ilistahili nikuripoti.
..kuna UHALIFU huwa unatokea wakati wa vita.
..uchunguzi hauepukiki ili kuthibitisha kuwa yaliyotokea mkuranga-kibiti-rufiji hayakuwa uhalifu.
..na kama unadai watu 300+ waliopotea ni "collateral damage" basi jamaa zao wanastahili kulipwa FIDIA.
....Photoshop!!
Write your reply...
naogopa hata Ku comment maana nimetoka kupigwa ban
CCM inachukua kodi zetu na kununua wapinzani chadema inachangiwa na watanzania kununua vitendea kazi.nani mjinga CCM au chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUO
Wamekuwa kama mchwa, CDM inaongeza raslimali nyumbani wao wanapekecha akiba! "akilimatope".
Useme Kijerumani, Kihindi au Kireno hayanihusu. Wewe unazungumzia habari ya magaidi ambao hakuna mahali popote serikali au mahakama imethibisha kuwa walikuwa magaidi. Serikali haijawahi kusema jambo moja kubwa: Nani walikuwa wanaua Polisi wetu na kwa nini!!! Badala yake yamepelekwa malalamiko Bungeni juu ya kuchukuliwa watu majumbani na misikitini na kisha watu hao kutoweka.Wewe falah sana! I am sorry! Kwa nini watu 400 wasiweze kuwa magaidi? Na nani alikuambia kuwa wao walikuwa wana Kijiji? Identities zao unazijua, mpaka ukathibitisha kuwa walikuwa wana Kijiji? Ni watu wa Kijiji gani hao? Umesha sikia kuwa katika battle field magaidi wanaweza wakatumia raia kama ngao yao?
Hivyo wewe unaijua vita lakini? Hiyo namba ya idadi ya wana Kijiji uliipata wapi? Ulikuwepo kwenye hiyo vita? Unaweza niambia magaidi wanakuwa na idadi gani? Wanne sita au 1000? ISIS wako wangapi? Alshabbu nao je? Al-Kaida walikuwa wangapi? Na Bokoharam je? Sio magaidi?
Acha ushamba wewe. Magaidi ni magaidi wawe kutoka Tanzania au Msumbiji au Ulaya. Unaweza ukaniambia ISIS wote ni waarabu kutoka Syria au Saud Arabia? Unajua idadi kubwa ya ISIS ni wa European kutoka Ujerumani na nchi nyingine za East Europe? Magaidi sio majambazi. Magaidi ni wanajeshi wenye silaha za kivita. Na wako tayari kuua mtu yeyote yule asiye kwenda na matakwa yao.
Naomba tafuta kwanza informations vizuri kabla hujaanza kutoa hoja za kinjinga kama hizi kuhusu Magaidi!!!
View attachment 1045864
Huo ni mji wa Raqqa Syria ambako US lead Coalition Truppe iliukomboa kutoka mikononi mwa ISIS. Unajua raia wangapi waliuawa? Kuna mtu alienda kuchunguza mpaka sasa kujua raia wangapi walikuwa kwenye mapambano? Watu wengine ni mazezeta kweli kweli! Maswali gani haya unauliza?
Hivyo wewe unafikiri gaidi anapenda kufa kinjinga kama wewe unavyo dhani? Of course atajitahidi atakavyo weza hata kuwazuia raia wasiondoke au kuwaweka kama ngao yake ili msimu-attack.
Angalia vizuri hiyo picha ya Raqqa Syria. Askari atajua wapi adui amejificha? Jaribu kufikiri kijana. Msomi wa mitandaoni. Hapo collateral damage lazima itokee. Hakuna excuse! Wewe unafikiri Uganda raia wangapi waliuawa, ambao hawakujitakia kifo, lakini walijikuta wako katika mapambano? Wewe unafikiri bomu lina macho ya kutambua nani ni adui na nani sio? Acha ushoga wako hapa!
Nenda kwenye battle field uone watu wanavyo miminiana risasi na mabomu. Nafikiri utaelewa nini maana ya vita.
Wewe ulitaka polisi wetu wawaombe magaidi wajisalimishe na wao kukubali Ombi hilo? Du bist echt beknackt! (You are really stupid!)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio expert sana katika graphics ila hapo picha ya wazi kabisa wamefanya editing
hakuna kitu kama hicho hapooo
Ukubwa wa maneno na nembo kiutaalamu umezidi ratio ya ukubwa wa gari
pia ziko juu haziko katika gari
pia designing ya gari kwa ubora wao wasingeweza kufanya design mbovu hiyo
so hapo ni uongo hakuna cha basi wala nini
HA ha ha ha ha ha haAhya nenda kwa chakubanga ukachukue buku 7 zikusaidie kesho
In God we trust
Nasikitika hujui unacho kisema. Wewe kama mtanzania una nini, kiasi kwamba ukafanya kitu bila Amerika? Ambayo wengi humu mnaisifu kuwa ni nchi yenye Demokrasia pure?Useme Kijerumani, Kihindi au Kireno hayanihusu. Wewe unazungumzia habari ya magaidi ambao hakuna mahali popote serikali au mahakama imethibisha kuwa walikuwa magaidi. Serikali haijawahi kusema jambo moja kubwa: Nani walikuwa wanaua Polisi wetu na kwa nini!!! Badala yake yamepelekwa malalamiko Bungeni juu ya kuchukuliwa watu majumbani na misikitini na kisha watu hao kutoweka.
Ifahamike kuwa hatuwezi kuwatendea Wananchi wetu unyama eti kwa sababu ISIS au Amerika wanafanya hayo. Two wrongs never make a right. Hatutaki ukatili katika nchi yetu.
Ni kweli katika mapambano yeyote dhidi ya wahalifu kuna wegine watauawa na wengine watakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria, sasa mbona kwenye suala la MKIRU hatuoni watu wakifikishwa mahakamani!!!? Tunawezaje kuruhusu viongozi wetu na watendaji wa vyombo vyetu vya usalama watende mambo kwa ukatili bila kufikisha watuhumiwa kwenye sheria. Imewahi kutokea mikoa ya Kanda ya ziwa miaka ya 1977/1078 kwamba vyombo vyetu vya usalama viliua baadhi ya watu waliodhaniwa kuwa wachawi. Kilichofuatia kinajulikana. Sheria ilichukua mkondo wake. Tunataka Serikali inayochukulia masuala ya Wananchi wake kwa uangalifu mkubwa; si serikali yenye dhana za Ki ISIS au AMERIKA.
[emoji3577][emoji123]Kwani mimi kukuuliza kuapnda kwa sh against us $ kuna ubaya gani?
Anyway tuyaache hayo kuhusu kilabu nimekesha nafurahia maisha hapa starehe nairobi
In God we trust
Ndege inasaidia nn upuuz tu nchi hii masikiniRais wetu alipokuwa anazopokea ndege zetu pale airport, wapinzani walikuwa wanachonga sana wakidai kuwa ni ushamba Kwa Rais kwenda juzi pokea hizo ndege, sasa nyie wapinzani hapo mmezawadiwa basi tu tena UDA mnaonyesha mbwembwe kibao sijui siku mkizawadiwa ndege nahisi mtazimia
YesssssssNAONA BAVICHA MTALIFANYIA MAPOKEZI YA NGUVU DREAMLINER YA LISU