Tundu Lissu azungumza na Wananchi na Wanachama wa CHADEMA - Januari 01, 2025

Lissu akiwa mwenyekiti Kuna mawili:-

1. Nchi kuingia kwenye machafuko, maana anafahamika jinsi anavopenda Shari

2. Chadema Kua na mwenyekiti hewa, Endapo akitimkia ubelgiji Kama kawaida yake (Kuhofia maisha yake).
 
wakati lissu anajiunga chadema, katiba ya chadema ilikuwa na ukomo wa uongozi, yeye akachana kurasa kwenye katiba tena bila kuhusisha vikao halali vya chama, akina zitto kafulila kitila mkumbo walipinga hili, lakini yeye akawaundia mbinu akawafukuza chamani, leo huyohuyo anatuletea story hizi, anataka kutatua tatizo alilolitengeneza mwenyewe
 
Lissu akiwa mwenyekiti Kuna mawili:-

1. Nchi kuingia kwenye machafuko, maana anafahamika jinsi anavopenda Shari

2. Chadema Kua na mwenyekiti hewa, Endapo akitimkia ubelgiji Kama kawaida yake (Kuhofia maisha yake).

Maslahi yake kwanza, hakuna lolote la maana aliloongea.
 
Lissu akiwa mwenyekiti Kuna mawili:-

1. Nchi kuingia kwenye machafuko, maana anafahamika jinsi anavopenda Shari

2. Chadema Kua na mwenyekiti hewa, Endapo akitimkia ubelgiji Kama kawaida yake (Kuhofia maisha yake).
jeshi likiwa limelala labda.,

mbowe ana maono ya mbali kwa chama chake anahitaji badae kuwe na mbadilishano wa madaraka kama ilivyo marekani sasa lisu mawazo yake ni mwisho wa urefu wa pua yake hapo ndipo wanapotofautiana na mbowe
 
Lissu asijisahau sana,
Achunge Sana mdomo wake,

Maza hakurupuki kama jiwe,
Ni mtata asiyetabirika kuliko jiwe

Ngebe zake za kiipindi kile akizileta awamu Hii, tutamsahau mapema Sana.
 
Yaani wewe unaweza ignore veteran politician, kwa kuweka njuka bungeni.

Akili zake zinamtosha mwenyewe.

Mwanasiasa ajajingea ufuasi kwenye jamii umuweke bungeni, utoe mwenye influence kwenye jamii. Kisa katiba ya chama.

Akili zake zinamstosha mwenyewe, Lissu ni mwanaharakati sio mwanasiasa.
 
Lissu asijisahau sana,
Achunge Sana mdomo wake,

Maza hakurupuki kama jiwe,
Maza hacheki na kima yoyote.

Ngebe zake za kiipindi kile akizileta awamu Hii, tutamsahau mapema Sana.

Kosa la Lissu ni nini Mzee?

Kama hizo ngebe zake anavunja Sheria, mbona vyombo vya dola vipo na Sheria zipo, afunguliwe mashitaka, apelekwe mahakamani, Sheria na mahakama zikimkuta na hatia nichukue hatua.
 
Rais Lissu..



...Ni Hayo Tu!!
 
jeshi likiwa limelala labda.,

mbowe ana maono ya mbali kwa chama chake anahitaji badae kuwe na mbadilishano wa madaraka kama ilivyo marekani sasa lisu mawazo yake ni mwisho wa urefu wa pua yake hapo ndipo wanapotofautiana na mbowe

Sio Kazi ya jeshi kuingilia machafuko ya kisiasa (waandamanaji) , hiyo Ni Kazi ya polisi.
 
Kosa la Lissu ni nini Mzee?

Kama hizo ngebe zake anavunja Sheria, mbona vyombo vya dola vipo na Sheria zipo, afunguliwe mashitaka, apelekwe mahakamani, Sheria na mahakama zikimkuta na hatia nichukue hatua.
Yake matusi,ngebe na mafumbo yake kwny press conference, Mara aseme "tuna Raisi uchwara" n.k

Akizileta awamu hii, hakuna mwenye muda WA kumpeleka mahakamani.

Tumeshuhudia wengi TU wanavohukumiwa underground,

afu Maza anapiga Kimya,
Yaan Kama vile hamna kilichotokea.

Kila mtu anaendelea na ishu zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…