Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kumlinganisha Mwalimu Nyerere na mambo ya kijinga.Uliwahi kuona wapi Mwalimu Nyerere akiomba favors?Nyerere wa kizazi hiki anaongea.
JF tuna slogan ya kuheshimu mawazo ya kila mtu, lakini yapo ya kijinga pia ila hayo tunayasikiliza tuu, hayatufikirishi bali tunayapuuza kama haya.Lissu akiwa mwenyekiti Kuna mawili:-
1. Nchi kuingia kwenye machafuko, maana anafahamika jinsi anavopenda Shari
2. Chadema Kua na mwenyekiti hewa, Endapo akitimkia ubelgiji Kama kawaida yake (Kuhofia maisha yake).
Miaka yote hii yeye alikuwa mmoja wa hao wenye chama. Leo anawalaumu hao hao waliohakikisha anafika alipofika sasa. Nyalandu alilalamika kuchezewa faulu lakini akapuuzwa. Wakina Lwakatare waliondolewa kinamna, yeye akiwa mshiriki.wakati lissu anajiunga chadema, katiba ya chadema ilikuwa na ukomo wa uongozi, yeye akachana kurasa kwenye katiba tena bila kuhusisha vikao halali vya chama, akina zitto kafulila kitila mkumbo walipinga hili, lakini yeye akawaundia mbinu akawafukuza chamani, leo huyohuyo anatuletea story hizi, anataka kutatua tatizo alilolitengeneza mwenyewe
Mtuakikuita mpu...vu hajakosea. Wakati watu wanalaani hayo wewe unayapigia chapuo!Yake matusi,ngebe na mafumbo yake kwny press conference, Mara aseme "tuna Raisi uchwara" n.k
Akizileta awamu hii, hakuna mwenye muda WA kumpeleka mahakamani.
Tumeshuhudia wengi TU wanavohukumiwa underground,
afu Maza anapiga Kimya,
Yaan Kama vile hamna kilichotokea.
Kila mtu anaendelea na ishu zake.
Acha ujinga, yahani CCM iwe na makubaliano ya kubadilishana madaraka na CHADEMA. Ndio Mbowe anavyowadanganya?Sio Kazi ya jeshi kuingilia machafuko ya kisiasa (waandamanaji) , hiyo Ni Kazi ya polisi.
Kazi kulalama na kudai Chadema ni mali binafsi. YEYE alikuwa Makamu Mwenyekiti alifanya nini?Kulaumu na blame game ni rahisi sana kwa watu wasio na maono na ufumbuzi.Kila hotuba ni kulalamika tu.analalamika chadema ni mali binafsi ya badhi ya viongozi nqŵadhani anamnanga mbowe hapo
Yake matusi,ngebe na mafumbo yake kwny press conference, Mara aseme "tuna Raisi uchwara" n.k
Akizileta awamu hii, hakuna mwenye muda WA kumpeleka mahakamani.
Tumeshuhudia wengi TU wanavohukumiwa underground,
afu Maza anapiga Kimya,
Yaan Kama vile hamna kilichotokea.
Kila mtu anaendelea na ishu zake.
KabisaaCHADEMA kwa gharama yoyote msikubali kumpoteza huyu mtu chonde chonde
Sijayapigia chapuo,Mtuakikuita mpu...vu hajakosea. Wakati watu wanalaani hayo wewe unayapigia chapuo!
Tatizo lake njaaaTunu pekee ambayo unaweza kitufikisha nchi ya ahadi ni tundu lisu jasili sio muoga mwenye usubutu
View: https://www.youtube.com/watch?v=ozQqkisoXJ4
Mhe Lissu kama alivyoahidi kuhutubia Taifa Leo siku ya tarehe 01.01.2025 majira haya ya mchana,
Mhe Lissu ni mkweli na tayari amenafanya hivyo msikilize.
Usiondoke Jf kwa habari na madili mbalimbali👌👌
==============================================
- Lissu ameendelea kupigilia msumari hoja yake ya ukomo wa madaraka ambapo amedokeza kuwa ni ngumu watu kuendelea kujitolea CHADEMA iwapo kutakuwa hakuna mfumo wa kurithishana madaraka ndani ya chama hicho.
"Kama hoja kuu ya kupinga ukomo wa madaraka kwenye vyama ni kwamba uongozi wa vyama vya siasa ni kazi ya kujitolea wanaopalilia hoja hii wamenyamaza kimya kuhusu pendekezo langu la kuwa na ukomo wa madaraka katika ubunge na udiwani wa viti maalum ambazo zote sio kazi za kujitolea"
"Kwa uzoefu wetu wenyewe, badala ya viti hivi kuwa fursa ya kuwajengea uwezo na uzoefu wa kuwa wabunge na madiwani, utaratibu wa viti maalum sasa umekuwa ni utaratibu wa wanawake wachache kujijengea himaya za kimalkia ndani ya vyama vyao kwa kutumia fursa na mafao ya ubunge au udiwani ili kujihakikishia wanaendelea kuwa wabunge"
"Huu ulikuwa ni mwaka wa George Sanga mfungwa mwingine wa kisiasa ambaye amemaliza miaka 4 na amemaliza mwaka wa 5 ndani ya gereza la Njombe akiwa ni mhanga wa siasa za kiuchaguzi za John Pombe Magufuli na kazi inayoendelea na Samia Suluhu Hassan."
- Kuhusu kuachiliwa kwa George Sanga, Tundu Lissu amesema:
"Kuna wale ambao kwa sababu ya maslahi na vijimanufaa fulani fulani wamejisahau na kuanza kumsifia na kumsafisha utawala wa kiimla wa Samia Suluhu Hassan"
- Kuhusu Maridhiano kati ya CHADEMA na Samia, Lissu alisema:
"Kama maridhiano na Samia yalikuwa na manufaa makubwa kama tunavyoambiwa sasa, tuwaambie nini wajane na watoto wa Marehemu Medi George Juma Mohamed, Steven Chalamila na Modestus au tuwaambie nini wazazi na ndugu zao Deus Soka, Emanuel Mbise, Jacob Mlay, Shadrack Chaula na John Kipanya"
"Au maaan ya maridhiano ilikuwa ni kupeana michongo ya pesa tu?"
Humjui wewe!Wacha kumlinganisha Mwalimu Nyerere na mambo ya kijinga.Uliwahi kuona wapi Mwalimu Nyerere akiomba favors?
Sahii kabisa mkuuHizo hukumu ndio hatuzitaki na hawa mnaowapa hizi hukumu kila siku wataonekana washindi na upande mwingine mtadhidi kuumiza watu na mwisho wake itaback fire na kuwarudia wahusika hao hao tunaowasifia.
Kuua na kuumiza watu bila sababu za msingi ni kuja kuuingiza nchi kwenye machafuko tu maana watu hawa hawa wakichoka na kutafuta njia yakujilinda hugeuka kuwa hatari na kuiingiza nchi kwenye machafuko.
Litakuwa limeenda kupumzika kidogo SERENA HOTELjeshi likiwa limelala labda.,
LISU NJAAAAAA ili kuna wajinga awajamuelewa uyo jamaa.wakati lissu anajiunga chadema, katiba ya chadema ilikuwa na ukomo wa uongozi, yeye akachana kurasa kwenye katiba tena bila kuhusisha vikao halali vya chama, akina zitto kafulila kitila mkumbo walipinga hili, lakini yeye akawaundia mbinu akawafukuza chamani, leo huyohuyo anatuletea story hizi, anataka kutatua tatizo alilolitengeneza mwenyewe
Jeshi linahusika piaSio Kazi ya jeshi kuingilia machafuko ya kisiasa (waandamanaji) , hiyo Ni Kazi ya polisi.