Tundu Lissu: Bila kuwa na Uwazi na Uwajibikaji, CHADEMA itakufa

Tundu Lissu: Bila kuwa na Uwazi na Uwajibikaji, CHADEMA itakufa

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Uwazi na uwajibukaji ndo utafanya CHADEMA idumu sio kuficha Uovu. Amyeaongea hayo kwenye Clubhouse alipoulizwa kwamba haoni kama kuongea mambo kwa Uwazi kunaua Umoja wa kitaifa wa chama? Kwanini asionhelee mambo ndani?

Kufanya mambo kwa Uwazi kunaleta uwajibikaji.

Wananchi wanatakiwa waambiwe mapato na matumizi sio kuficha ficha.

Wanadai eti kusema maovu kwa uwazi kunaua umoja wa chama kwamba yazungumziwe ndani.

Lissu amesema kama Uwazi ni jambo baya, basi tukubaliane uwazi ni jambo baya.

Hivyo hata CCM wanapofanyia gizani mambo ya kuhujumu taifa kama kuuzwa kwa bamdari tusipige kelele.

Amesema mambo ya kufanyia mambo gizani mara nyingi yanakuwa ni nia ovu. Wanapotumia madaraka yao vibaya, wanapotumia fedha za Umma vibaya na mambo yote yanayofanyia gizani tusipihe kelele. Tukubaliane Uwazi kwa CCM ni jambo baya hivyo hivyo na ndani ya chama tukubaliane Uwazi ni jambo baya unahatibu umoja wa chama.

Lissu amesema anacjofahamu ni mihimu kuwe na uwazi kwenye shughuli za Chama. Tunaficha nini na kwanini?

Kwanini tunaficha kwa mfano matumizi ya fedha za chama? Tunamficha nani na kwanini?

Mambo ya Umma yawe hadharani. Giza linazaa abuse Giza linazaa matumizi mabaya ya madaraka. Vitu vinavyo zungumzwa gizani hata visipo tekelezwa hakuna anayeweza kujua.

Chama cha mageuzi kama chadema hakiwezi kikakumbatia giza halafu tukasema sisi ni chama cha mageuzi.

Tukifanya mambo gizani chama kitakufa. Mtu asije kujidanganya kwamba chama hakiwezi kufa mfano ipo mingi. Hata UDP ilikuwa kubwa kuliko chadema.

Kwahiyo Uwazi utatufanya tuishi maisha marefu kuliko kukumbatia giza.
 
downloadfile.jpg
 
Uwazi na uwajibukaji ndo utafanya CHADEMA idumu sio kuficha Uovu. Amyeaongea hayo kwenye Clubhouse alipoulizwa kwamba haoni kama kuongea mambo kwa Uwazi kunaua Umoja wa kitaifa wa chama? Kwanini asionhelee mambo ndani?

Kufanya mambo kwa Uwazi kunaleta uwajibikaji.

Wananchi wanatakiwa waambiwe mapato na matumizi sio kuficha ficha.

Wanadai eti kusema maovu kwa uwazi kunaua umoja wa chama kwamba yazungumziwe ndani.

Lissu amesema kama Uwazi ni jambo baya, basi tukubaliane uwazi ni jambo baya.

Hivyo hata CCM wanapofanyia gizani mambo ya kuhujumu taifa kama kuuzwa kwa bamdari tusipige kelele.

Amesema mambo ya kufanyia mambo gizani mara nyingi yanakuwa ni nia ovu. Wanapotumia madaraka yao vibaya, wanapotumia fedha za Umma vibaya na mambo yote yanayofanyia gizani tusipihe kelele. Tukubaliane Uwazi kwa CCM ni jambo baya hivyo hivyo na ndani ya chama tukubaliane Uwazi ni jambo baya unahatibu umoja wa chama.

Lissu amesema anacjofahamu ni mihimu kuwe na uwazi kwenye shughuli za Chama. Tunaficha nini na kwanini?

Kwanini tunaficha kwa mfano matumizi ya fedha za chama? Tunamficha nani na kwanini?

Mambo ya Umma yawe hadharani. Giza linazaa abuse Giza linazaa matumizi mabaya ya madaraka. Vitu vinavyo zungumzwa gizani hata visipo tekelezwa hakuna anayeweza kujua.

Chama cha mageuzi kama chadema hakiwezi kikakumbatia giza halafu tukasema sisi ni chama cha mageuzi.

Tukifanya mambo gizani chama kitakufa. Mtu asije kujidanganya kwamba chama hakiwezi kufa mfano ipo mingi. Hata UDP ilikuwa kubwa kuliko chadema.

Kwahiyo Uwazi utatufanya tuishi maisha marefu kuliko kukumbatia giza.
MPUUZI MKUBWA KUWAHI KUTOKEA. KUNA MABO YA KUWEKA HADHARANI NA YA KUWEKA NDANI. YOU NEED TO DISTINGUISH BETWEEN THE TWO!

SEMA UKWELI KUWA NILIUA, UTANYONGWA........LIKEWISE SOME ISSUES UKIZIWEKA WAZI MNASAMBARATIKA .....AS WHERE CHADEMA IS HEADING NOW......................INASAMBARATIKA
 
Uwazi na uwajibukaji ndo utafanya CHADEMA idumu sio kuficha Uovu. Amyeaongea hayo kwenye Clubhouse alipoulizwa kwamba haoni kama kuongea mambo kwa Uwazi kunaua Umoja wa kitaifa wa chama? Kwanini asionhelee mambo ndani?

Kufanya mambo kwa Uwazi kunaleta uwajibikaji.

Wananchi wanatakiwa waambiwe mapato na matumizi sio kuficha ficha.

Wanadai eti kusema maovu kwa uwazi kunaua umoja wa chama kwamba yazungumziwe ndani.

Lissu amesema kama Uwazi ni jambo baya, basi tukubaliane uwazi ni jambo baya.

Hivyo hata CCM wanapofanyia gizani mambo ya kuhujumu taifa kama kuuzwa kwa bamdari tusipige kelele.

Amesema mambo ya kufanyia mambo gizani mara nyingi yanakuwa ni nia ovu. Wanapotumia madaraka yao vibaya, wanapotumia fedha za Umma vibaya na mambo yote yanayofanyia gizani tusipihe kelele. Tukubaliane Uwazi kwa CCM ni jambo baya hivyo hivyo na ndani ya chama tukubaliane Uwazi ni jambo baya unahatibu umoja wa chama.

Lissu amesema anacjofahamu ni mihimu kuwe na uwazi kwenye shughuli za Chama. Tunaficha nini na kwanini?

Kwanini tunaficha kwa mfano matumizi ya fedha za chama? Tunamficha nani na kwanini?

Mambo ya Umma yawe hadharani. Giza linazaa abuse Giza linazaa matumizi mabaya ya madaraka. Vitu vinavyo zungumzwa gizani hata visipo tekelezwa hakuna anayeweza kujua.

Chama cha mageuzi kama chadema hakiwezi kikakumbatia giza halafu tukasema sisi ni chama cha mageuzi.

Tukifanya mambo gizani chama kitakufa. Mtu asije kujidanganya kwamba chama hakiwezi kufa mfano ipo mingi. Hata UDP ilikuwa kubwa kuliko chadema.

Kwahiyo Uwazi utatufanya tuishi maisha marefu kuliko kukumbatia giza.
Mtu na nusu huyu. Walamba asali hawa mpendi huyu mwamba
 
ya nuruni siku zote ni ya Mungu, ya gizani ni ya shetani aitwaye ibilisi. Shida dunia imekataa Nuru inakumbatia giza!

Yohana 3 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁰ Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.
²¹ Bali yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru, ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika Mungu.
 
Saccos ya mbowe yaani chadema ni Duka la mbowe binafsi idara ya pesa haina mhasibu kila kitu ni mbowe mwenyewe, hata katibu mkuu hana mamlaka idara ya pesa na hajui bank kuna Akiba shilling ngapi, Mbowe hufuja pesa za chama kienyeji ndiyo maana hataki kusitaafu kwa hofu ya kuumbuka juu ya ufisadi wake anajua akiingia mwenyekiti mpya atahoji vingi na ndipo madudu yake yote yatajulikana ikiwemo Rushwa uteuzi viti Maalumu
 
Back
Top Bottom