The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
What a foolish and stupid arguments from Tlaatlaah...!!wacha nikuongezee kidogo,
yaani unazungumzia vipikipiki elf20 pekee?
sasa hiyo ni nini kwa ccm, kama chadema waliingiza pickup za m4c zaid ya 100 kwa mara moja bila ruzuku na haijulika ziko wap mpaka sasa hata moja
sikiliza ilo hivi,
bodaboda, bajaji, mipira na jezi za michezo za ccm, tracks & jackets, t shirts, kofia, fulana, vitenge, kanga, skafu, beji, medali n.k ni sehemu kidogo sana ya ruzuku ya chama cha mapindizi....
lakini bado, kuna kalamu za risasi za kisasa, notebooks, daftari, mav8 kama yote 0km ambayo nayo ni sehemu kidunchu sana ya ruzuku ya chama cha mapinduzi ....
nimesema sana kwa wenzako, narudia tena kwako, gentleman,
uchaguzi ni process, uchaguzi ni plan na strategies ambayo ni very expensive acha mchezo aise
ushindi wa kishindo is not a joke, it is real actions, acheni utani bana....
, et mtu anakuja from no where, ng"weng"weng"we nataka niwe raisi wa TZ, unachekesha wew![]()
Kila uchafu wa CCM na Rais wenu Samia Suluhu Hassan unapotajwa tu, utetezi wenu unakuwa: Mbona CHADEMA hivi au vile......?
Utetezi wa namna hii siku zote unathibitisha uovu na ufisadi wenu tu. Be carefully. Don't expose your ignorance that way!
Mtu mwenyewe unayetetea ujinga na upumbavu huu si ajabu ni mlamba viatu wa mabwana zenu wafiraji na bibi zenu wasagaji huko CCM!!
Eti unasema uchaguzi ni "process" na ni "expensive" na kwa hiyo hii ndiyo inampa uhalali Rais Samia Suluhu Hassan na CCM kuhongwa na waarabu kwa kutumia madaraka yake ya "U Rais" kutoa rasrimali za asili za Tanganyika. Really?
That👆 is very devilish, barbaric argument from an ignorant creature with the name Tlaatlaah!
Kwa hiyo acha porojo Kijana wa kike/kiume. Think about your country, your people and your future children and grandchildren
Hujajibu hoja za Tundu Lissu na CHADEMA.
Na sidhani hata kama huko CCM kuna akili za mtu mmoja wa kutoa majibu ya kueleweka kwa sababu akili (mind) zenu ziko permanently destroyed na tabia uovu na uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Hakuna mtu huko wa kulitetea hili akaeleweka!!
By the way, wala hizo siyo pikipiki za CCM wala za serikali. Hizo ni za Mama Abdul a.k.a Samia Suluhu Hassan.
Na, Ok. Utetezi wako umejiegamiza CHADEMA
And let's assume that, ni kweli CHADEMA walinunua magari 100 miaka hiyo.
Swali unalopaswa kujibu ni hili:
Walimwibia mtu mapesa hayo? Waliuza ukucha wa Mtanganyika yeyote kupata magari hayo?
All in all, still swali libabaki kuwa SSH2025 katoa wapi pesa zote hizo za kununua mapikipiki yote hayo na kugawa nchi nzima?
Benjamin William Mkapa 2004 aliiba USD100 toka Benki Kuu Ili kuisaidia CCM kwenye kampeni zake za kumfanya Kikwete Rais mwaka 2005.
Tunaona huyu Mzanzibari ni mbaya zaidi. Hana huruma kabisa na Watanganyika. Lakini wewe Mtanganyika mwenzetu kwa kuwa unapambania tumboni lako wala huoni ubaya huo.
Huyu Mzanzibari, yeye anaiba pesa za umma ambazo zingeleta USTAWI na MAENDELEO ya watu wote na anauza rasrimali za Tanganyika kwa waarabu na yeye in return anahongwa mapesa Ili yamwezeshe kubaki madarakani.
Huyu comes 2025, hawezi kuiongoza Tanganyika!!!

