Uchaguzi 2020 Tundu Lissu (CHADEMA), aomba mdahalo na Dkt. Pombe Magufuli (CCM)


T2020JPM, Alumni wa kawe, vingi Lowassa=yehodaya, magonjwa matambuka mkuje. Mnaitwa huku!
 
Mwaka huu kazi ipo mgombea wa Chadema Tundu Lisu Baada ya kuishiwa sera mkutano wa kampeni azindua sera mpya ya kuomba mdahalo wa wagombea Uraisi ambao Television zote lazima zitangaze!!!

Tulisema kampeni ya Ugombea uraisi Sio lelemana sera tayari Lisu zimeshakauka kooni.
 
Hivi naachaje kumchagua Lissu wakati ana Sera ya kumsomesha hata mwanangu ambaye nimemsomesha private?

Hivi naachaje kumchagua Lissu ambae anarudisha makato ya mikopo ya bodi ya mikopo kutoka asilimia 15 ya magufuli hadi asilimia 6?

Hivi naachaje kumchagua Lissu ambaye ametoa Sera ya kunijali mimi mlioandika kodi na mfanyabiashara kwa kuniwekea mswada wa kunilinda mimi mlipa kodi ili TRA wasininyanyase?

Hivi na Haji kumchagua Tundu Lissu ambaye hataniwekea mipaka kwenye masoko ya kuuza mazao yangu niliyoyalima kwa jasho kubwa?

Hivi naachaje kumchagua Tundu Lissu mwenye Sera ya kurudisha katiba mpya ya warioba itakayoweka misingi ya utawala bora na kuondoa matumizi mabaya ya madaraka?
 
Rais Magufuli endelea kuchapa kazi na kuwaletea maendeleo watanzania. Kampeni unazofanya ni kama kutimiza matakwa ya katiba ya JMT, unazunguka kufanya presentation ya mazuri ambayo umewafanyia watanzania...
Maendeleo gani unayasongelea?

ATCL?
Ukijiuluza kwa nini ATCL imehamishiwa kwenye Kasma ya Ikulu ambayo CAG haruhusiwi kukagua utagundua kuwa ununuzi wa madege hauna faida. Yamenunuliwa bila kufuata sheria ya PPRA ili kujipatia RUSHWA tu.

Juzi tarehe 11 jioni Bombardier ya Mwanza -DSM ya saa 10 ilikuwa na abiria 33. Just imagine hiyo ni ruti ya Mwanza kwa Bombardier. Kwa hiyo ma Airbus na Dreamliner ni LOSS tupu. Wananchi hawana hela hata za kusafiria hiyo ATCL.

FLYOVER?
Suala ni kipaumbele. Lipi lianze elimu na afya au daraja la juu la DSM? Ni vipi Mwananchi wa Kazuramimba au Nanjilinji anafaidika na hilo daraja la DSM wakati yeye hata barabara ya vumbi ya kusafirisha mazao yake haipo

Barabara?
Jili la barabara za lami hajaanza yeye. Alianza Benjamin Mkapa na Kikwete kaendeleza. Kama kuna mtu wa kumsifia kwa barabara ni Mkapa kwa kuanzisha Road Fund na TANROADS. Afanye kadri ya uwezo wake na wengine wataendeleza kama yeye alivyopokea.

SGR?
Cha ajabu nini hapa. Mjerumani mwaka 1890- 1915 alijenga Reli ya Kati na bado aliondolewa na Muingereza.

Nyerere alijenga TAZARA na akaachia madaraka. Acheni ushamba wa kuabudu matendo ya DIKTETA

STIGLER GORGE?
Huwezi ukaanzisha miradi ya nchi kwa mapenzi yako mwenyewe bila kuzingatia the economic viability zake ili tu kujitafutia cheap popularity. Unaweza ukamaliza kunenga Stigler Gorge electric dam lakini siyo lazima upate hizo 2100 MW
 
Tundu Lissu hajajitengenezea utaratibu mzuri wa kupewa "offer" ya mdahalo.

Midahalo ni "privilege" yaani upendeleo na si "right" au haki...
Do you think vyombo vya habari havitaki kufanya midahalo?
The problem is je pana watu watakubali ambao ni viongozi wa juu?!

Nadhani wengi wanaogopa kuumbuka kwasababu ndipo mahali pekee utaulizwa na kujibu huku mamilioni ya wananchi wakikutazama na kupima uelewa wako, yaani utajibu wewe kama wewe, shida ni kwamba viongozi wengi wa kiafrika wanaogopa kuumbuka sababu hakutakuwa na nafasi ya kuongopa.

if I'm not wrong Tido alitaka fanya wakati yupo TBC ila sijui ilikuwaje ikazimwa kimyakimya ile ishu, ila actually mdahalo ni jambo zuri na pia siku hiyo mara nyingi Nchi husika husimama kusikiliza wagombea wa ngazi za juu sababu ni kipimo cha hali ya juu.
 
Hapa ndipo Magfuli anapoogopea. Zingatia uwezo wake kujieleza na kujenga hoja ni mdogo. Pale hakuna wa kumkalipia. Unajibu maswali ya mtabgazaji unajibu maswali ya Lissu kichwa tulivu.
 
Maendeleo gani unayasongelea?

ATCL?
Ukijiuluza kwa nini ATCL imehamishiwa kwenye Kasma ya Ikulu ambayo CAG haruhusiwi kukagua utagundua kuwa ununuzi wa madege hauna faida. Yamenunuliwa bila kufuata sheria ya PPRA ili kujipatia RUSHWA tu...
Acha kuongea porojo za kishamba,Atcl kuwekwa chini ya wakala wa ndege za serikali ndio kuwa haikaguliwi mahesabu na CAG? Au kuna mtu anakudanganya!

Unaponda flyovers na interchanges hujui hasara ya foleni kwa uchumi wa nchi. Foleni ilikuwa inasababisha watu kuchelewa kufanya shughuli zao na kupunguza mapato kwa taifa na wananchi. Kodi na mapato ambayo yanapatikana kwa watu kufanya shughuli zao kwa haraka na wakati zinawanufaisha hata hao wananchi wa Nanjilinji.

Ni ajabu kumsifia mjerumani eti alijenga reli,alafu unaponda Sgr. Kwani hujui mjerumani alijenga reli ili kubeba raw material kupeleka kwao na kuinyonya nchi yetu. Sisi tulifaidika nayo kwa kipi mjerunani akiwa mkoloni.

Sgr italiingizia mapato taifa na pia itawanufaisha wananchi kwa namna nyingi ambazo zipo wazi.

Ni aibu kubwa kubeza mradi kama JNHPP wakati unajua unafaida kubwa na utaleta manufaa makubwa ya kiuchumi. Hizo Mw 2100 kwa nini zisipatikane wakati turbines zina uwezo wa kuzalisha hicho kiwango? Acha kukariri siasa za kishamba.
 
Anatapatapa sasa ameshindwa kuwa win watz! Hatuhitajj mdahalo sisi bali tunataka utuambie umefanya nini na utafanya nini tukikupa kura zetu! Hatuko kwenye mashindano ya mdahalo!
Lisu baada ya kujaukiwa sera anataka kugeuza Ugombea uraisi kuwa secondary school English debate competition!!!! Kskumbuka debate za Iliboru alikosoma secondary
 
Ni mtu mjinga tu ndiye anaweza kukataa fursa ya kujieleza kupitia mdahalo.
wapiga kura wetu Wengi wakuu wanaotupa ushindi wa kishindo CCM hawana TV Wala Radio hatuuhitaji huo.mdahalo
 
Makeni this is the way kila mkutano uwe na summary namna hii safi sana
 
Lisu baada ya kujaukiwa sera anataka kugeuza Ugombea uraisi kuwa secondary school English debate competition!!!! Kskumbuka debate za Iliboru alikosoma secondary
Magufuli akiingia kwenye mdahalo atapata kifafa maana anajuwa ataulizwa aliko Ben Saanane Magufuli mwendesha serikali ya wauuaji
 
Yani Magufuli apoteze muda wake kwenda kujibu upupu wa Lissu anaowajaza viazi wenzake kwenye mikutano yake.

Surely Magu has better things to do.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…