Uchaguzi 2020 Tundu Lissu (CHADEMA), aomba mdahalo na Dkt. Pombe Magufuli (CCM)

Kujenga JNHPP ni kitu kimoja na kupata MW 2100 ni kitu kingine. Una commit leo USD 6,000 kwa umeme unaotokana na maji wakati una vyanzo vingine vya renewable energy kama gesi, upepo na geothermal. Ni udwanzi!
Kukaa kimya nalo ni jibu.
 
Ni ujinga kumkutanisha kwenye mdahalo MTU aliyechukua HKL na PCM,inafahamika wazi kuwa tobolisu ni muongeaji sana kutokana na kukalili sheria na historia wakati huyu mwingine ni mtu wa kutenda vitu vionekane na anachokituamia tobolisu ni kuaminisha watu kupitia kuongea kwake lakini si mtendaji kama anavyowaamisha watu, mfano mdogo ni ahadi alizotoa ni nyingi na zote zinaitaji pesa, ameahidi kufumua mifumo ifuatayo:TRA ,HABARI MAELEZO, ELIMU, KATIBA MPYA, MIFUKO YA JAMII, AFYA pia ameahidi kulipa fidia kwa waliondolewa kwa vyeti feki.

Waliobomolewa na kuamishwa kwa ajili ya ujenzi na ameahidi kupandisha mshahara kwa wafanyakazi, hapo ni miaka 05 bado miladi ya maendeleo ambayo yote inaitaji pesa na kutokana na kwamba hivyo vitu vyote vinaitaji pesa nyingi zaidi y tillioni 20. huyu MTU ni wa kumuogopa kama ukoma hafai bora Mara 10000 zimwi likujualo kuliko lisilokujua,
 
Anatapatapa sasa ameshindwa kuwa win watz! Hatuhitajj mdahalo sisi bali tunataka utuambie umefanya nini na utafanya nini tukikupa kura zetu! Hatuko kwenye mashindano ya mdahalo!
Jamaa kwani wewe umefanya nini
 
Pia Mh Lissu anayo haki ya kuomba mdahalo na Jiwe, ila kama Jiwe anaogopa pia ana haki ya kukataa, kama lugha kwake ni tatizo amepewa uhuru wa kuchagua lugha yoyote ambayo yeye(Jiwe) atakuwa comfortable.
 
Hebu kaa utulie tafadhali.
Nitulie kivipi? Anasaini waziri ambae ni mbunge ndio wa kawaida atazuiwa kuipata kama anaihitaji? Uliza ni mkataba gani ambao bunge au mbunge akiutaka Serikali itakataa kuutoa.
 
Iwekwe sheria kwamba wagombea urais lazima washiriki kwenye mdahalo miongoni mwao. Hapa Magu hawezi kutokea kwenye mdahalo unaoombwa
 
Mbona wagombea wako wengi tu, kwanini iwe ni John tu.
Kuna Membe, Rungwe n.k anaweza fanya nao mdahalo pia.
Kweli hukui jibu ya hilo swali lako? [emoji848][emoji848][emoji848]
Kweli ccm wana wanachama wasiojua chochote
 
Lengo la mdahalo ni ku assess uwezo wa kujieleza na kuelezea mipango yake. Uwezo wa JPM tumeuona kwa vitendo hakuna haja ya blablaa. Mwambien Lissu afanye mdahalo na Rungwe na Membe ndio wa level yake
Unajua lengo la mdahalo wewe mataga? Kama hukui rudia kusoma tena
 

Huku ni kudhalilishana tu.
 
Nitulie kivipi? Anasaini waziri ambae ni mbunge ndio wa kawaida atazuiwa kuipata kama anaihitaji? Uliza ni mkataba gani ambao bunge au mbunge akiutaka Serikali itakataa kuutoa.

Narudia tena, hebu kaa kimya boss.
 
Lengo la mdahalo ni ku assess uwezo wa kujieleza na kuelezea mipango yake.
Uwezo wa JPM tumeuona kwa vitendo hakuna haja ya blablaa
Mwambien Lissu afanye mdahalo na Rungwe na Membe ndio wa level yake

Ni nadra sana mtu muovu kukubali kuhojiwa.
 
Hata Hayati Mwalimu Nyerere alikulia kijijini akichunga ng'ombe.

Baadae akatimkia shule na akaanza shule akiwa na miaka 12, na "upstairs" akawa si wa kawaida.

Huyohuyo umwonae mshamba leo hii kakuzidi akili, yeye ni raisi wa nchi.
Anayesema kuwa alisukumiziwa ndani au nani unamzungumzia?
 
So tukusaidie nini ndugu Mwalimu wa Marekani?
 
Mkuu tuliza akili,utapasuka. Unashindana na jitu ambalo kundi kuuubwa la viongozi wako limemshindwa kwa hoja
Yaah!
Mfano hoja ya kuwalipa mabilioni ACACIA kwa kuzuia mchanga wetu bandarini. Hili jitu liliwagaragaza kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…