Uchaguzi 2020 Tundu Lissu (CHADEMA), aomba mdahalo na Dkt. Pombe Magufuli (CCM)

Huyo mjamaa amekulia porini afu anajiona lugha ya kingereza ni kijijini kwao

Kufanya mjadala na mropkaji wa matusi nani atakubali?
Aende ubeligiji akafanye mjadala na robert
lazima mkimbie muingie mitini mana hamna mtachoweza kuwaambia wananchi
 
and delivered.
...Ila Lisu angeanza na MUSIBA. amueleweshe ilikuwaje risasi 16 zilipigwa kutokea kushoto lakini mguu ulioumia ni wakulia na dereva wake asiguswe kabisa?
vipi leo hukulala na mumeo mbona unatapika utopolo tu
 

...Hakuna adhabu kubwa kama kumtesa adui yako kisaikolojia. Yaani Jiwe kam-ignore na kumuachia afanye chochote na aropoke chochote bila kumguswa wala kusumbuliwa.

Hata waliomtuma huko nje wamepigwa bumbuwazi. Ametangaza maandamano nchi nzima pale Mbagala, watanzania nao wameamua kumdharau tu. Duh!
 
Hakuna kosa ambalo litamgaharimu magufuli kama kukubali hiyo battle

....lakini ni kosa zaidi kuukimbia mdahalo maana kutadhihirisha udhaifu wake kwa 100% na itadhihirisha kuwa CCM huwa haishindi uchaguzi wowote kwa ushawishi bali kwa wizi wa kura tu!

.....kwa kifupi ni kuwa kabananishwa kotekote kukubali au kuukataa mdahalo yote ni makosa makubwa kisiasa!!
 
Somo likieleweka hakuna maswali. Asante kwa kunielewa
Nikuelewe kwa upuuzi ulionadika, unacommit mradi wa umeme kwa Usd 6000 si upuuzi. Usd 6000 ni mradi wa JNHPP? Unakariri renewable energy, wakati Hep ni cheap na haina madhara kwa mazingira.
 
Hauoni kwamba ndiyo wakati mzuri wa Magufuli kumchakaza kabisa Lissu? Kuna msemo unasema "Mtoto akililia wembe mpe umkate". Magufuli ni wembe na Lissu ni mtoto! Uwacheni wembe ukafanye kazi yake.

Ruhusuni mjadala.
Lissu hajui ‘budgeting limitations factors’ wala actual cost za bima yake kila mtu achangie shilling ngapi. Let alone nikisema jambo kama hilo linataka uanze na hospital service costing kwanza, aina ya magonjwa tuliyonayo, idadi ya watu wanaogua magonjwa mbali mbali kila mwaka, hospita stay, hospital bed capacity etc before you even think of insurance cover ya nchi nzima kila mtu achangie kiasi gani.

Mtu anaropoka tu halafu anataka mdhahalo na raisi. Kukusaidia tu Lissu hana shida ya mdahalo kwa sababu ana hoja za msingi the bottom line kila mtu akiacha ushabiki wa siasa anachoongea Lissu ni upuuzi wa kuwahadaa wananchi wenye elimu ndogo.

Based on those facts kumpa mtu kama huyo mdhahalo sio kwamba unaenda jibizana nae kwa hoja zenye merit maana hana, bali kufanya ivyo ni ku entertain his mental issues; Tundu inabidi mumpe ukweli wake Magufuli ni raisi wa Tanzania na kwa katiba yetu he is very powerful aache kujiona yeye na Magufuli ni watu sawa.
 
Mwambie lisu hana sera kabaki kudandia dandia tu...hakuna kura za huruma hapa...
Mheshimiwa Magu ana kazi kubwa ya kukutana na wananchi na kuzungumza nao kuhusu mstakabali wa nchi kwa miaka mitano ijayo siyo kupiga mdahalo na mtu anayetaka huruma za wananchi
 
Kuhusu budget limitation factors ni suala la priorities tu. Tumeanza na lipi na lipi linafuata!!

Kwa mfano kwa nini utumie Bilions of TSHS kujenga kiwanja cha Chato kimachopokea ndege ya Museveni au Kenyatta once per year? Hizo fedha zingeelekezwa kwenye Afya.

Kwa nini nitumie Billions of TSHS kununua Dreamliners planes halafu ukazikodishe nje ya nchi? Bora ungeelekeza fedha hizo kwenye Afya au Elimu.
 
Naona tuanze kupanga topic zitakazojadiliwa kwenye mdahalo... mi naanza 1) Maslahi ya watumishi.
2) ....
 
Budgeting limiting factors inahusiana na vyanzo vya mapato, hili uweze kutumia lazima ujue source of your income. Uwezi toa lita kumi ya maziwa kwa ng’ombe mwenye uwezo wa kutoa lita tano. Ukilazimisha utakumua damu na kuuwa ng’ombe mwenyewe.

Mambo anayoongea Tundu Lissu ni kufurahisha baraza tu, sio maneno ya kushawishi wetu wenye uelewa kuwaonyesha kweli ana mbinu za kuipeleka nchi mbele.

Ni utoto kushabikia upuuzi wake mnataka na raisi nae aka entertain mgonjwa wenu kama polisi na NEC walivyoamua kumuangalia tu.
 
wewe bora ungelala,huna jipya
Asante, Jipya naona ni hicho mnachokihubiri wakati hamkiishi, please jibadilishe kwanza wewe Mengine yatafuata.
Huwezi ukawa na tabia za kikahaba harafu unaanza kuwakataza makahaba wenzako waache ukahaba si utakuwa ni ukichaa wa hali ya juu
 
Huyo mjamaa amekulia porini afu anajiona lugha ya kingereza ni kijijini kwao

Kufanya mjadala na mropkaji wa matusi nani atakubali?
Aende ubeligiji akafanye mjadala na robert
Wewe umeona hilo tu. Ishu ya 15% kwa wadaiwa wa mikopo na hifadhi za jamii hujaona? Ishu ya mtakabari wa elimu nchini hujaona?

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Tundu Lissu ameona nini kwa mpinzani wake mbona anakuwa hana huruma
Dah....tatizo watz hatuhitaji Rais mwenye pereteperete nyingi.... tunahitaji Rais atakaye watetea wanyonge....atakayesimamia rasilimali zetu...atakayesimamia kama Rais...not a remote controlled one[/QUOTE]Hivi wanyonge ni watu gani? Ni vipi jiwe amewatetea hao wanyonge? Naomba majibu tafadhari

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…