Uchaguzi 2020 Tundu Lissu (CHADEMA), aomba mdahalo na Dkt. Pombe Magufuli (CCM)

..sasa wewe shutuma za kuwa walinzi waliondolewa area D umezichukuliaje?

..umeridhika na majibu ya serikali kuhusu shutuma hizo?

..umeridhika na jinsi jeshi la Polisi lilivyoshughulikia uchunguzi wa shambulizi lile?

Nimezichukulia kuwa ni shutuma ambazo hazina ushahidi.

Sidhani kama serikali ina cha kujibu kuhusu shutuma ambazo hazina ushahidi.

Pia uchunguzi hauwezi kuendelea kufanyika endapo dereva wa Tundu Lissu hataweza kuhojiwa na polisi na maelezo yae kuchukuliwa.
 

Hapa bado waendelea kutoa shutuma ambazo huna ushahidi nazo.
 

..hazina ushahidi kivipi wakati mhanga wa tukio hilo ndiyo aliyesema.

..yaani kwa akili yako unaamini mhanga wa tukio kama lile anaweza kudanganya?

..au unaweza kuamini mtu, au chombo kingine, zaidi ya victim mwenyewe?

..kama victim amesema walinzi wa getini, na kwenye nyumba za viongozi walikuwa hawapo, who is to dispute that?

..Na kama suala hilo ni disputable basi ilitakiwa wajitokeze hao walinzi na kueleza walikuwa wapi, au kama walikuwepo waeleze waliona nini.

NB:

..anayeweza kubishia na kukanusha kuhusu walinzi kuwepo au kutokuwepo ni magaidi waliotumwa kumuua.Kwasababu wauwaji, Tundu Lissu, na dereva, ndio waliopita getini kabla ya tukio.
 

Kama kazi hata na mimi nimeajiriwa na nawasiliana na watu kwa lugha ya Kiingereza.. Kwa ufupi hata na mimi nakijua vizuri sana. Mpumbavu kama wewe unataka kuwaaminisha watu kuwa Tundu Lissu na Magufuli wapo sawa kwenye lugha ya Kiingereza, siyo kweli.
 
Anatapatapa sasa ameshindwa kuwa win watz! Hatuhitajj mdahalo sisi bali tunataka utuambie umefanya nini na utafanya nini tukikupa kura zetu! Hatuko kwenye mashindano ya mdahalo!
Vijana wa ccm zero brain
 
Hiyo ilani ni kajitabu cha kitapeli tu.

Kama ilani haiwezi hata kuajiri watu, ujue humo ndani kumejaa unyang'anyi mtupu.

Hebu muacheni aje azungumze huenda tutamuelewa. Hizo ilani huwa sizielewi kabisa.
Comrade nimeshakuambia kuwa mdahalo hautakusaidia kitu. Nimekuwekea na baadhi ya mikakati kutoka kwenye ilani makini ya ccm uone kuhusu ajira inasema nini.
 
Ni
 
Jinsi ambavyo mikutano ya hadhara ina tumiwa vibaya na wagombea na jinsi ya kupata mwanga
 
Kwa kuwa tupo utaona mwakani Kama Trump hatafanya mdahalo na pia tafuta uchaguzi uliopita wa Kenya uone kama Uhuru hakushiriki mdahalo na pia tembelea Israel Kama Letanyau hakushiriki midahalo!!!!! Ccm mnaogoa nini?huu ni uchaguzi wagombea wote Wana hadhi sawa,na kumbuka wote wameomba na kufata vigezo vya tume Kama wagombea wapya
 
Kwanini hamtaki wachunguzi binafsi Scotland yard walitaka kuchunguza bure bila malipo serikali ilikataa.na serikali imekaa kimya as nothing happened. Usitetee upumbavu hata kama unalipwa ujira.tafuta kazi ya kufanya upate hela halali
 
Mkuu THUBUTU huyo anayejiita MWENDAWAZIMU atokezee kwenye mdahalo. Lissu atamzika mzima mzima itakuwa ni aibu kubwa sana kwa MATAGA ndiyo sababu wamejawa na hofu kubwa kuhusu mdahalo.

haaaa haaa MATAGA mmechafukwa leo. Tatizo nini lugha? au maguvu bila point
 
Hongera sana Lissu hakika hizi ndizo sera ambazo sisi wanyonge wa nchi hii tunazihitaji. Asiyeelewa hapa hawezi elewa kamwe.

CCM mwacheni mgombea wenu ajitokeze kwenye mdahalo akapambane kwa hoja sio kusubiri Lissu ametoka mahali na yeye ndipo anajipeleka kupeleka visera uchwara vyake.

Mimi binafsi hata huwa simuelewi yule mzee anaongeaga nini aisee maana hana speech zenye mvuto wa kumsikiliza kabisa. Lakini kwa Lissu lazima utulize kichwa usikie nondo zinavyoingia mpaka unasema kweli huyu ndiye anastahili kumpa kura yangu.
 
Nina mashaka na uelewa wako aisee. Hivi huwa unajipa muda wa kusoma hata kilichoandikwa? Au wewe unakurupuka tu kucomment?

Mtu wa ajabu sana wewe!!!
 
Hilo karai lisilojielewa; haeleweki hata huwa anazungumza nini, yule hastahili kupangwa na Lissu hata kidogo.
 
Uuuwiiii! Kisu kimegonga kwenye mfupa!

Lissu anajua kukera aisee.
 
Ukiwa rais mtendaji yale unayoyafanya ni mdahalo tosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…