Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Leo atakwambia mdahalo hauna maana kwasababu JPM anatosha😁😁😁!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio inatakiwa wananchi tuwajue wanasiasa na ulaghai wao.Leo atakwambia mdahalo hauna maana kwasababu JPM anatosha[emoji16][emoji16][emoji16]!
Dunia imebadilika manka...... Usiishi kwa kukariri!Haya ni maoni ya Dr.Kitila Mkumbo.mgombea nafasi ya Ubunge kwa kupitia CCM jimbo la ubungo.View attachment 1570902
Mkuu, ukimbusho mzuri sana huu.Haya ni maoni ya Dr.Kitila Mkumbo.mgombea nafasi ya Ubunge kwa kupitia CCM jimbo la ubungo.View attachment 1570902
Huna hoja dada. Mkishahamia ccm na ubongo unaingia ugoro.Dunia imebadilika manka...... Usiishi kwa kukariri!
Haya ni maoni ya Dr.Kitila Mkumbo.mgombea nafasi ya Ubunge kwa kupitia CCM jimbo la ubungo.View attachment 1570902
Umeshapanic mfipa!Huna hoja dada. Mkishahamia ccm na ubongo unaingia ugoro.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo atakwambia mdahalo hauna maana kwasababu JPM anatosha[emoji16][emoji16][emoji16]!
Leo atakwambia mdahalo hauna maana kwasababu JPM anatosha😁😁😁!
eti!! eti!! kwanza sijuwi kama Lissu anayo masters degree inawezekana ana kabachela tuu ..hofu yanini kwa mtu Phd holder??Ccm kumbukeni mwaka 2015 mliomba mdahalo baada ya kuona mgombea wa ukawa ni dhaifu,,Sasa mnaombwa mdahalo mnaanza kujinyata nyata inamaana Rais wetu anaogopa mdahalo wa kuelezea ilani na sera ya chama chake?mdahalo ni sehemu ya kufanya kampeni hofu ya nini?rais ni msomi tena degree tatu na amefanya presentation kibao ana uzoefu na pia kwa miaka 20 amekuwa waziri alikuwa anajibu maswali bungeni,akikataa mdahalo ataonesha ni dhaifu anastahili tumtumbue atakuwa na cheti feki,, haiwezekani PHD mzima uogope mdahalo.