Tofautisha kati ya kuwa UN member ambapo nchi zinakubaliana treaties matokeo yake wanajikuta wanapokea international regulations na directives wanazopitisha kwenye mikutano yao na kutakiwa kutekeleza au kusimamia ivyo ndio unavyokuwa sehemu ya international community; similarly ndio inavyokuwa kwenye regional blocks inategemea treaties zipi mmekubaliana na hakuna sehemu kwenye makubaliano ya aina hiyo Tanzania imejitoa.
Hayo mambo unayoongelea ni voluntary international/community initiatives kujiunga au kujitoa ni swala la utashi tu.
Kuwa sehemu ya international community maana yake una share some sort of agenda na nchi nyingine mnakutana na ku discuss maendeleo yenu. Kuwa mwanachama wa taasisi ambazo ni voluntary kama ICC, open government, Mahakama ya Africa ni utashi.
Hiyo mahakama ya Africa ingekuwa sehemu ya AU block treaty na kuna regulations zake kama sehemu ya judicial system, serikali isingeweza jitoa. Mpaka kujitoa maana yake ni voluntary initiatives tu kama zinavuka mipaka hakuna shida kujitoa.
Mbona US, UK, Russia, China na wababe wengine wamejitoa uanachama ICC baada ya kuona kuna watu wao wanaweza itwa ni mambo ya kawaida hayo duniani kama hakuna international treaty inayolazimisha uwepo wa kila mtu.