Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Achana na stori kibao, unajua implication ya inasemekana? Hasa kwenye kutoa ushahidi?..Ndio maana Zero anapata kigugumizi kuwakamata waliomshambulia TL.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na stori kibao, unajua implication ya inasemekana? Hasa kwenye kutoa ushahidi?..Ndio maana Zero anapata kigugumizi kuwakamata waliomshambulia TL.
Hao magaidi walitumwa na nani?
Achana na stori kibao, unajua implication ya inasemekana? Hasa kwenye kutoa ushahidi?
Wewe ulishuudia walinzi wakiondolewa?..unajua nani ana mamlaka ya kuondoa walinzi area D ili kupisha magaidi waliotumwa kumuua Tundu Lissu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yani hayo mamlaka yana mpa ulinzi Lisu wamlinde kipindi chote cha kampeni, alafu hayohayo mamlaka yaondoe ulinzi ili hayo hayo mamlaka yatume majambazi yamshambulie?..naamini walitumwa na "maagizo kutoka juu."
..hivi ni nani mwenye mamlaka ya kuondoa ulinzi wa serikali area D na kuruhusu tukio kama lile?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yule sasa hivi kabaki anabweka tu!Kwani Lord denning anasemaje kuhusu hili?
Kwahiyo alipewa ulinzi na serikali kipindi cha kampeni?sasa kwa nini anaituhumu serikali ?
Wewe ulishuudia walinzi wakiondolewa?
Tulia...aliyesema walinzi waliondolewa ni Tundu Lissu.
..anayeweza kukanusha tuhuma hizo ni dereva wake, au magaidi waliotumwa kumuua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yani hayo mamlaka yana mpa ulinzi Lisu wamlinde kipindi chote cha kampeni, alafu hayohayo mamlaka yaondoe ulinzi ili hayo hayo mamlaka yatume majambazi yamshambulie?
Akili matope hizi
Tulia.
Lord denning njoo bwana unipe update kuhusu kesi yenu ICC[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yule sasa hivi kabaki anabweka tu!
Anachungulia na kukimbia
Hayo magaidi yaliyotumwa halafu yakamficha dereva wake asitoe ushaidi mahakamanii. Acheni maigizo yenu yameshabumaa..inasemekana "maagizo kutoka juu" ndiyo yaliondoa walinzi ili kupisha magaidi waliotumwa kumuua Tundu Lissu.
Hii taarifa ya 2015 ndio mnaitumia leo?! nyie vipi!Hiyo hapo
Elections 2015 - Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa Chadema, John Mallya amesema Kikwete...www.jamiiforums.com
Huna uwezo wa kunitega we kiazi, mgombea Urais ni haki yake kupewa ulinzi, kama mnajiamini kwanini mpaka leo mmegoma kumuhakikishia usalama wake?Nilimtega swali akaingia kichwakichwa sasa analia .umatuhumu mtu then anakupa ulinzi
Dereva wake akija anafikia urafiki..aliyesema walinzi waliondolewa ni Tundu Lissu.
..anayeweza kukanusha tuhuma hizo ni dereva wake, au magaidi waliotumwa kumuua.
Ni mwendelezo wa uongo wa chadema. Wanawadanganya watu eti kufungua kesi ICC wakijua ICC haiishughulikii kesi za vyama kushindwa uchaguzi au umbea.Chadema wana kiwanda cha Uongo by Kikwete!
Huna uwezo wa kunitega we kiazi, mgombea Urais ni haki yake kupewa ulinzi, kama mnajiamini kwanini mpaka leo mmegoma kumuhakikishia usalama wake?