Tundu Lissu: CHADEMA haina mamlaka kisheria kufungua kesi ICC kuhusiana na Uchaguzi 2020

Tundu Lissu: CHADEMA haina mamlaka kisheria kufungua kesi ICC kuhusiana na Uchaguzi 2020

Dereva wake akija anafikia urafiki
Jione ulivyo mjinga, huko urafiki ndio kwenye haki?mnawatisha halafu wakiondoka nchini mnawaita wasaliti, kwanini msimpeleke mahakamani kama mnajiamini? kubishana na mazuzu ya aina yenu ni kupotezea muda tu.
 
Kiazi ni wewe unayesema walitaka kumuuwa wakampa walinzi ili washindwe kumuuwa hivi unaakili kweli mtu anayetaka kukuuwa anakupa walinzi ili asikuuwe .mjinga sana wewe
Wewe tahira huwezi kuchunguza mazingira na wakati halafu ukatafakari hata dakika moja.
 
Kwa wale wajinga wa lumumba mnaoushambulia huu uzi kwa vicheko.

Tambueni mtu anaweza kuiwakilisha taasisi, Chadema wakisema wameenda ICC hawana maana wote kuanzia KM , Mwenyekiti, Makamu wake na viongozi wengine wote watajikusanya waende huko.

Hapa atateuliwa mmoja akiwakilishe chama, then chama kitatoa ushirikiano kwa huyo atakaeteuliwa kwenda kufungua hiyo kesi, na hiki ndicho kilichofanyika hapo.

Sasa kuendelea kushangilia jambo dogo kama hili mnaoneaha mlivyo watoto wenye uwezo mdogo wa kuchambua mambo ya msingi halafu mmejaa ujuaji wa kizuzu tu, tulieni muelimishwe, Lissu kwenda huko ndio sawa na kusema Chadema yenyewe imeenda huko, kwasababu anapata support yote toka kwa chama chake.

Hao Chadema wanajua taasisi hairuhusiwi kufungua kesi huko ni individuals ndio huruhusiwa, na ndio maana Lissu kasema hivyo; sasa muwe mnasoma kidogo haya mambo halafu mruhusu akili zenu zifanye kazi japo najua wengi wenu mna akili fupi sana, ila jitahidini hivyo hivyo nasi wengine tutawasukuma tu mpaka mfike mnapotakiwa.
 
..kama watawala hawakumsaidia wakati ule yuko mahututi hajitambui unadhani watamsaidia sasa wakati anaweza kujisemea?

..watawala ndio walioondoa ulinzi wa area D ili kupisha magaidi waliowatuma wakamuue Tundu Lissu.

.
Majungu hayo.
 
Huna uwezo wa kunitega we kiazi, mgombea Urais ni haki yake kupewa ulinzi, kama mnajiamini kwanini mpaka leo mmegoma kumuhakikishia usalama wake?
Wewe ndio kiazi sana kwani alipokuwa hapa anapiga kampeni akihakikishiwa usalama na nani?

Kwanza apewe u VIP treatment huo yeye kama nani? Raia wote wa nchi hii wanaishi kwa amani na usalama yeye anataka huo uspecial kama nani? Mbona alirusha chopa toka Kia to dar akisema haogopi?
 
Lissu na wanangonjera wenzake watanyooka tu. Tuliwaambia tangu mwanzo kuwa ICC sio baraza la wananzengo la kusikiliza kesi za walevi wa Faru John. Watu wengine wanajiita wanasheria nguli sijui ni nguli kwa umbumbumbu! Mwaka jana walitupigia kelekele sana, wakitishia viongozi mbalimbali kuwapeleka ICC. Utter nonsense!

Na chizi mwenzao Trump ameisaidia dunia kufahamu dangers za uchochezi. Hapo dili la uchochezi limeshaharibika; wachochezi sasa watakula kibano kitakatifu!
Hizi njaa mbya sana basi Mungu atujalie shibe
 
Watanzania wangapi wamesoma ICC charter?

Kuna watu hawajui Kiingereza tu, wewe unaongea ICC charter?

Mimi ningemuelewa mtu anayesema Tundu Lissu anaongea mambo kama kila mtu kasoma ICC charter.

Kama wewe una uelewa wa 10 kwa 10, na wenzako wengi wana uelewa wa 1 kwa 10, Tundu Lissu akieleza mambo kiasi kwamba hata wale wenye uelewa wa 1 kwa 10 waelewe, wewe mwenye uelewa wa 10 kwa 10 unapata tatizo gani kuona Lissu anakuwa inclusive hata hao ambao hawajasoma ICC charter waelewe?

Huelewi kwamba, huyu kama mwanasiasa na muelimishaji, anataka watu wengi zaidi wamuelewe, sio waliosoma ICC charter tu?

Wewe mwenyewe kwanza inabidi ujifunze Kiswahili.

Uelewe tofauti ya suala na swala, havitekelezeki na avitekelezeki. Haimpeleki na aimpeleki.
Siku Watanzania walipoogopa kuandamana na ACT kuingia kwenye serikali ya Zanzibar ule ulikuwa mwisho wa ICC. Tuache kudanganyana.
 
Jiwe ajiandae kupanda ndege!! Mwezi wa tatu ngoma uwanjani; sasa kama yeye ni kidume agome kwenda tuone!!

Jogoo wangu nazidi kumlisha....ahadi yangu ipo palepale
 
Siku Watanzania walipoogopa kuandamana na ACT kuingia kwenye serikali ya Zanzibar ule ulikuwa mwisho wa ICC. Tuache kudanganyana.
That is neither here, nor there with regards to my point.

Kwani nani kasema ulikuwa mwanzo wa ICC.

Unaelewa hoja yangu ni ipi hapa au unadandia treni kwa mbele tu?

Mimi naandika kuhusu a very specific point.

Wewe umekuja off point kabisa.
 
Yaani sasa hivi ndiyo wamelijua hilo kwamba hawana haki ya kufungua kesi ye yote ICC. Halafu wanajidai wana wanasheria mahili wakati ni vilaza wa sheria - wanajifunza kwa google ambayo kila mtu anaweza kugoogle!

ICC ni mahakama ya UN Security Council ambayo rafiki yetu China na Urusi wana kura ya turufu. Ni kwa ajili ya nchi huru moja kuishitaki nchi nyingine huru kupitia UN Security Council. It is between sovereign states. Haiko kwa ajili ya wanaharakati hao uchwara ambao dunia inawafahamu na inawashangaa.
 
That is neither here, nor there with regards to my point.

Kwani nani kasema ulikuwa mwanzo wa ICC.

Unaelewa hoja yangu ni ipi hapa au unadandia treni kwa mbele tu?

Mimi naandika kuhusu a very specific point.

Wewe umekuja off point kabisa.
Hebu tuambie hiyo specific point.
 
Aliyekuwa mgombea uchaguzi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHDEMA Tundu antipas Lissu amejitokeza na kutolea ufafanuzi kadha kuhusu kuwepo au kutokuwepo kwa kesi huko mahakama ya uhalifu ICC dhidi ya Serikali ya Tanzania baada ya uchaguzi mkuu 2020.

====

Dar es Salaam. Chadema Vice Chairman and party’s presidential candidate in the 2020 General Election Tundu Lissu yesterday clarified that the opposition party hasn’t filed a case at The Hague- based International Criminal Court (ICC) because it lacks the legal mandate to do so.

He said member states who are signatories to the Rome Statues and the ICC chief prosecutor were the only ones with the legal mandate to file cases at the court with its residency in the Netherlands.

However, Mr Lissu, who was speaking during a virtual debate said the process could face serious challenges from members of the United Nations Security Council that have VETO powers.

In his clarification, Mr Lissu said Chadema has submitted evidence on incidents that could qualify as crimes against humanity that have been committed targeting members of the opposition.

However, Attorney General (AG), Prof Adelardus Kilangi, recently denied to have been aware of the ICC processes referred to by Chade- ma’s national chairman Freeman Mbowe.

Yesterday, Mr Lissu said the ICC, which was established in 1999, registered four types of cases includ- ing those related to genocide, crimes against humanity, war crimes and aggression.

“It is up to the chief prosecutor to determine whether our evidence conforms to Article 7 and 17 of the Rome Statute that describe types of crimes and whether they have suf- ficient gravity,” he said.

He said sufficient gravity is measured by the number of victims, the quality of crime and the type of defendants.

“Therefore, we have listed inci- dents of killings, assassination attempts that targeted me in Dodo- ma, disappearances, remands and wounding as well as providing the quality, perpetrators and their state- ments for the chief prosecutor to determine,” he said.

He added, “However, these are preliminary stages, the case is not expected today or tomorrow because there are procedures that have to be followed first.”

Detailing on procedures, the former president of the Tanganyika Law Society (TLS) said upon being satisfied with evidence, the chief prosecutor may travel to the country for further gratification.

However, the prosecutor would finally be required to seek for the approval of the United Nations Security Council that has 15 members, with the UK, US, Russia, France and China holding VETO powers.

“The challenge is that all the five members with VETO powers are supposed to accept in order for the case to be filed, which is really a huge challenge,” admitted the former firebrand Singida East lawmaker.

According to him, apart from demand for immense support, claimed offenses have to be substantiated because not all killing incidents are crimes against humanity. He said crimes to qualify as against humanity should target a certain group of people, should spread, be repetitive, systematic and executed to identifiable groups.

Responding to a question on what would be the case if the country withdraws ICC membership as it happened when Tanzania withdrew from the African Court on Human and People’s Rights (AfCHPR) based in Arusha, Mr LIssu said that will not help.

“The country will be dealt with regardless of its membership status based on the international custom- ary laws and traditions that prohibit incidents of aggression, war crimes and crime against humanity,” he said.

He said Tanzania has signed sever- al international treaties, which could be another reason for it to continue facing trials even if it withdraws from the court.
During the event, lawyer Jebra Kambole said the ICC chief prosecutor may also launch an investigation by herself like what happened in Kenya, Burundi and Georgia.

“The chief prosecutor may also launch investigation in other areas including the forceful disappearance of people and arbitrary detention including incidents that don’t meet international standards and governments are not ready or unwilling to investigate,” he said.

Chanzo: The Citizen
View attachment 1677078
Msikilizie kwa undani


Sehemu ya pili ya ufafanuzi

Huyu jamaa kweli anajua anaogoza nyumbu


Wataamini kila atakalolisema
 
Back
Top Bottom