Lissu anavuna alichopandaYani tundu Lissu wema aliowafanyia watanzania na tunayomlipa ni tofauti yani Kama yesu wayahudi na baraba
Imagine alivyowapigania watanzania kutambua ukweli dhidi ya wizi uliofanywa na dola na namna alivyopinga Tanzania kuongozwa kidikteta lakini Leo hii Kuna watu wanamsemea mabaya daaah walimwengu aisee ajabu Sana hua siamini Mambo ninayoyaona ambayo yako against Lissu mpaka huwa najiuli aliwakosea nini yeye binafsi?
ICC ilikuwa zuga tu hata Lowassa naye alisema atapeleka kesi ICJ.
InakujaIpo siku
Hiyo ya kuita watu wapumbavu haitakusaidia.Sijui kama werevu na wapumbavu huwa wanakutana njia moja, ngoja tuone kama itatokea.
Hivi kapuku kama wewe ndio wa kumuonea huruma Lissu , kwa hiyo elfu 7 unayolipwa kwa wiki ?Lisu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Naona mnaishi kwa matumaini kwamba ipo siku jewi ataenda ICC kifupi hilo kamwe halitatokea. Bora nguvu za kulifikiria ukazielekeza kutafuta rejesho la vikoba.Hivi kapuku kama wewe ndio wa kumuonea huruma Lissu , kwa hiyo elfu 7 unayolipwa kwa wiki ?
Nothing lasts longerNaona mnaishi kwa matumaini kwamba ipo siku jewi ataenda ICC kifupi hilo kamwe halitatokea. Bora nguvu za kulifikiria ukazielekeza kutafuta rejesho la vikoba.
Ilifaa zaidi aonewe huruma kipindi alipopigwa risasiLissu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Ni swala la muda tu watafurahiNimemuelewa sana Tundu Lissu, hapo kwenye persecution hawachomoki.
Alipanda upendo kwa watanzania na bado wengi mno wanampenda isipokuwa nyie wachache ambao ni mataga uvccm watoto wa viongozi au wanufaika wa huu mfumo plus wajinga wachache bendera fwata upepo.Lissu anavuna alichopanda
Lisu akiishi maisha ya shida wewe utakuwa kwenye Hali gani kweli ujinga mzigoLissu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Mwenye shida ya akili wenye akili wanampeleka hospital. Matahahira mmempiga risasi.Mpeni pole nyingi sana,kwakweli anatia huruma.
Mungu ampe nafuu kutokana na maradhi yake ya akili.
Ulimweka midomoni mwa watu zaidi Kwa kumpiga risasi. Poor wapiga risasiHuyu mtu namuona kama hayawani vile,yaani anajidai kushughulika na mambo makubwa lakini ya kipuuzi ili aendelee kukaa midomoni mwa wafuasi wake.
Poor lissu
Lissu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Anawadanganya wafuasi wake wamuone wa muhimu ila sio kabisaUmenichekesha sana,