mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Wewe na Lissu nani mwenye shida?Lissu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Sijui hata leo utakula wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na Lissu nani mwenye shida?Lissu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Nikiibiwa kura nitaingiza watu barabarani!Bora ametolea ufafanuzi lumumba waache kujiliwaza.
Natumai leo mmemuelewa hasa pale anapozungumzia lengo la kuanzishwa mahakama ya ICC, kuwa ni ku-deal na serikali au taasisi zake zinapofanya makosa kwa raia wake na pasiwepo uhakika wa vyombo vya ndani kuyashughulikia hayo matatizo kwa ukamilifu bila upendeleo.
Hapa ndio zinaingia taasisi kama jeshi la polisi, NEC, n.k. na mpaka kufikia hapo, ule utetezi wa kusema hayo matatizo lazima yashughulikiwe na mahakama za ndani kwanza unakuwa umepoteza maana, mahakama za ndani ni kutimiza formality tu, hazizuii kesi kwenda ICC.
Hiyo ICC charter ndio nini??Watanzania wangapi wamesoma ICC charter?
Kuna watu hawajui Kiingereza tu, wewe unaongea ICC charter?
Mimi ningemuelewa mtu anayesema Tundu Lissu anaongea mambo kama kila mtu kasoma ICC charter.
Kama wewe una uelewa wa 10 kwa 10, na wenzako wengi wana uelewa wa 1 kwa 10, Tundu Lissu akieleza mambo kiasi kwamba hata wale wenye uelewa wa 1 kwa 10 waelewe, wewe mwenye uelewa wa 10 kwa 10 unapata tatizo gani kuona Lissu anakuwa inclusive hata hao ambao hawajasoma ICC charter waelewe?
Huelewi kwamba, huyu kama mwanasiasa na muelimishaji, anataka watu wengi zaidi wamuelewe, sio waliosoma ICC charter tu?
Wewe mwenyewe kwanza inabidi ujifunze Kiswahili.
Uelewe tofauti ya suala na swala, havitekelezeki na avitekelezeki. Haimpeleki na aimpeleki.
Huyu jamaa ni shida anajua kujieleza Sana hasa issue za kisheria
Muulize huyo aliyeitaja.Hiyo ICC charter ndio nini??
Sheria iliyoestablish ICC ni Rome Statute.
Hizi akili Hadi Hawa nyumbu wanaomfuata kila sehemu ndo wanazoHuyu mtu namuona kama hayawani vile,yaani anajidai kushughulika na mambo makubwa lakini ya kipuuzi ili aendelee kukaa midomoni mwa wafuasi wake.
Poor lissu
hii inahusiano gani na uonevu unyanyasaji uovu wa CCM kwa wapinzani?Lissu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Nani anaenda kuwa UN GS?Hata hawajui kuwa, jamaa ndiyo huyo anaenda kuwa UN - General Secretary wao.
Yale yale ya yule mama wa NIMR (Malecela), unaharibu utu wa mtu mwisho wa siku, Mungu muumba anamwinua na kumrejeshea heshima ya utu wake.
Lissu ni mwanasiasa?Lowasa ni mwanasheria?
Nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM walivyokuwa wengi nyuma ya keyboard hata wewe umekaa kusifu manyanyaso ya CCM kwa wapinzani siyo kwamba wewe ni mwadilifu bali ni mnufaika wa matesa ya CCM kwa wapinzaniHizi akili Hadi Hawa nyumbu wanaomfuata kila sehemu ndo wanazo
Angalia comment zao yaani unafikiri wameshinda kesi leo.
Wako kwenye keyboard halafu kesho watasahau wamesema Nini watakurupuka na lolote atalosema Lissu.
Wapo wanufaika wa mfumo kandamizi wa CCM wanufaika wa uonevu, mfano TRA jinsi wanavyofunga biashara kufunga Account kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara wanapata Rushwa, wengine kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi utakatishaji fedha wanaporwa pesa zao, wananufaika wa hivyo vitengo lazima wataipenda CCM milele kwani wamejinufaisha kiuchumi kwa blackmail na Rushwa na wengi ndiyo Hushinda mitandaoni wakiitetea CCMYani tundu Lissu wema aliowafanyia watanzania na tunayomlipa ni tofauti yani Kama yesu wayahudi na baraba
Imagine alivyowapigania watanzania kutambua ukweli dhidi ya wizi uliofanywa na dola na namna alivyopinga Tanzania kuongozwa kidikteta lakini Leo hii Kuna watu wanamsemea mabaya daaah walimwengu aisee ajabu Sana hua siamini Mambo ninayoyaona ambayo yako against Lissu mpaka huwa najiuli aliwakosea nini yeye binafsi?
Ushoga upo CCM ndiyo maana makonda Bashite alijitahidi kuupiga vita ushoga lakini ni hao hao wabunge wa CCM walimpinga Bungeni wakiongozwa na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani kipindi hicho.Mashoga ni wakukojolewa risasi tu.
Kwako kukataa uonevu unyanyasaji wa CCM kwa wapinzani ni uwahayawani? Kwa kuwa wewe ni mnufaika wa manyanyaso ya CCM kwa wapinzani umeamua kujitoa fahamu zote?Huyu mtu namuona kama hayawani vile,yaani anajidai kushughulika na mambo makubwa lakini ya kipuuzi ili aendelee kukaa midomoni mwa wafuasi wake.
Poor lissu
Hakupanda ubaya atavuna vizuri kwani Dunia itaimulika Tanzania ndipo CCM itaacha manyanyaso kwa wapinzaniLissu anavuna alichopanda
Mahakamaccm haitoi haki kwa wapinzaniAibu sn kwa mahakama zetu raia kukosa imani na mahakama
Atakuwa ni Afisa wa TRA anayewabambikia kodi kubwa wafanyabiashara anawafungia account apate Rushwa, ukiona mtu anaitetea CCM ujue moja kwa moja ni mnufaika wa uonevu unyanyasaji wa CCM kwa wananchi.Wewe na Lissu nani mwenye shida?
Sijui hata leo utakula wapi?
A hero for what? My fiend you will recognize the truth time gone,keep on being false informed by your false prophet lissu who is abroad making nonsense issues so as to feed his followers who are empty in their heads like you here.Nonsense,Because you swimming in the pond of idiotic mind you cannot change,kindly be informed that Mr Lissu is an hero person forever.