Tundu Lissu: CHADEMA haina mamlaka kisheria kufungua kesi ICC kuhusiana na Uchaguzi 2020

Tundu Lissu: CHADEMA haina mamlaka kisheria kufungua kesi ICC kuhusiana na Uchaguzi 2020

..Lissu yuko nje kwa kukimbia wauwaji ambao ni Watanzania wenzetu wanaotumia mamlaka yao vibaya.
Mkuu weka ushahidi. Hizi ngonjera na alinacha tuliziacha zamani, ni jukumu lako kuleta ushahidi usio na mashaka/evidence.
 
ICC in habari zinazohusu dunia nzima.
ICC haifanyi kazi kwa kutumia ushahidi wa kuokoteza na kuungaunga.
Hapana. Bado hujajibu niliyoandika.

Sikuandika kuwa ICC haishughulikii dunia nzima ikiwemo Tanzania.

Na hili la "ushahidi wa kuokoteza" sijui linatoka wapi; na ushahidi huo ni wa namna gani?
 
ICC in habari zinazohusu dunia nzima.
ICC haifanyi kazi kwa kutumia ushahidi wa kuokoteza na kuungaunga.

..tuombe MUNGU tusifike mahali "habari" zetu zikaihusu dunia nzima.

..unaweza kusema yaliyotokea Tz hayajafikia kiwango cha kuilazimisha ICC kuchukua hatua, lakini hiyo haimaanishi kwamba hakuna Watanzania wenzetu ktk vyama vya upinzani ambao wameumizwa kwasababu ya mitizamo na misimamo yao ya kisiasa.
 
..alichofanya mwanasheria wake ni hicho alichokielezea Tundu Lissu.

..those who thought otherwise ni wale ambao walihitaji ufafanuzi kama huu alioutoa Tundu Lissu.

..mimi nadhani tatizo siyo ubabaishaji, bali ukatili na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unafanywa na vyombo vya serikali.

..siasa zetu zingekuwa zinaendeshwa kwa misingi ya HAKI tusingekuwa tunazungumzia mambo ya ICC.
Watu tunasahau mapema sana; Amsterdama alisema wameshafungua kesi huko ICC. Nilipinga taarifa hiyo kuwa ni ya uongo kwa sababu mbili: (a) Amsteradam hajasajiliwa kama mwanasheria wa ICC, halafu (b) ICC haipokei kesi kutika mtu mmoja mmoja, in wanaheria wake ambao ndio wanaoushghulikikua kesi zote za ICC, na niliweka list ya wanasheria hao hapa kuonyesha kuwa Amstredam hayumo. Angesema kuwa amepeleka malalamiko yake huko ICC kuwaomba waichunguze serikali ya Tanzania, lingekuwa ni jambo tofauti kabisa na kudai kuwa amefungua kesi yake huko ICC!
 
Mkuu weka ushahidi. Hizi ngonjera na alinacha tuliziacha zamani, ni jukumu lako kuleta ushahidi usio na mashaka/evidence.

..Kwanini serikali ilipinga wachunguzi toka nje waje kusaidia ktk uchunguzi?
 
Watu tunasahau mapema sana; Amsterdama alisema wameshafungua kesi huko ICC. Nilipinga taarifa hiyo kuwa ni ya uongo kwa sababu mbili: (a) Amsteradama hajasajiliwa kama mwanasheria wa ICC, halafu (b) ICC haipokei kesi kutika mtu mmoja mmoja, in wanaheria wake ambao ndio wanaoushghulikikua kesi zote za ICC, na niliweka list ya wanasheria hao hapa kuonyesha kuwa Amstredam hayumo. Angesema kuwa amepeleka malalamiko yake huko ICC kuwaomba waichunguze serikali ya Tanzania, lingekuwa ni jambo tifauti kabisa na kudai kuwa amefungua kesi yake huko ICC!

..Lissu ameshatolea ufafanuzi, sasa sielewi unapinga kitu gani.
 
..alichofanya mwanasheria wake ni hicho alichokielezea Tundu Lissu.

..those who thought otherwise ni wale ambao walihitaji ufafanuzi kama huu alioutoa Tundu Lissu.

..mimi nadhani tatizo siyo ubabaishaji, bali ukatili na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unafanywa na vyombo vya serikali.

..siasa zetu zingekuwa zinaendeshwa kwa misingi ya HAKI tusingekuwa tunazungumzia mambo ya ICC.
Bora kasema mzungu Watanzania mahohehahe wanapagawa, then wanajinabisi kuwa wao ni Great Tinkers. Huko kwenye Saccos ukatili na ukiukwaji wa haki za binadamu umetamalaki.
 
Kusema ukweli Tundu Lissu ameshafeli hili japo.

Kwa wale mnaoendelea kumchangia mkizani atawafurahisha mioyo yenu kwa mumshitaki Magufuli mnaliwa hela zenu bure.

Na kwa kuwaambia tu, Hakuna hata sehemu Moja Magufuli alishaamulisha either polisi wakaauwe mtu ama wakateke watu.
Ni namna tu polisi wanapambana na watanzania. Hakuna ushahidi hata kidogo wa kumshitaki Magufuli.

ICC hawawezi sumbuka na hii kesi.

Hii ni Janja Janja tu ya Lissu kujipatia pesa za kujikimu huko ubelgiji.
 
..alichofanya mwanasheria wake ni hicho alichokielezea Tundu Lissu.

..those who thought otherwise ni wale ambao walihitaji ufafanuzi kama huu alioutoa Tundu Lissu.

..mimi nadhani tatizo siyo ubabaishaji, bali ukatili na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unafanywa na vyombo vya serikali.

..siasa zetu zingekuwa zinaendeshwa kwa misingi ya HAKI tusingekuwa tunazungumzia mambo ya ICC.
Umesahahu kuwa jamaa alisema amefungua kesi huko ICC?
 
Bora kasema mzungu Watanzania mahohehahe wanapagawa, then wanajinabisi kuwa wao ni Great Tinkers. Huko kwenye Saccos ukatili na ukiukwaji wa haki za binadamu umetamalaki.

..kama kuna ukatili na ukikwaji wa haki za binadamu ktk saccos kwanini serikali haichukui hatua?
 
Kusema ukweli Tundu Lissu ameshafeli hili japo.

Kwa wale mnaoendelea kumchangia mkizani atawafurahisha mioyo yenu kwa mumshitaki Magufuli mnaliwa hela zenu bure.

Na kwa kuwaambia tu, Hakuna hata sehemu Moja Magufuli alishaamulisha either polisi wakaauwe mtu ama wakateke watu.
Ni namna tu polisi wanapambana na watanzania. Hakuna ushahidi hata kidogo wa kumshitaki Magufuli.

ICC hawawezi sumbuka na hii kesi.

Hii ni Janja Janja tu ya Lissu kujipatia pesa za kujikimu huko ubelgiji.

..sasa kama Magufuli hachukui hatua, wanaotaabishwa na kutiwa vilema na vyombo vya dola wakalalamike na kulilia wapi?
 
..Lissu ameshatolea ufafanuzi, sasa sielewi unapinga kitu gani.
Sipingi ufafanuzi wake aliotoa leo, ninajiuliza ni kwa nini hakuutoa mapema wakati Amsterdam aliposema kuwa ameshafungua kesi ICC? Alikuwa hajui kuwa mtu binafsi hawezi kufungua kesi ICC?

Inawezekan wote walidhani kuwa ICC ni kama mahakama ya hakimu mkazi wakapeleka kesi yao ndipo wakaambiwa kuwa hapana, hapa siyo Kisutu, na ndipo Lissu anakuja kutuleza aliyojifunza huko leo!
 
Sipingi ufafanuzi wake aliotoa leo, ninajiuliza ni kwa nini hakuutoa mapema wakati Amsterdam aliposema kuwa ameshafungua kesi ICC? Alikuwa hajui kuwa mtu binafsi hawezi kufungua kesi ICC?

Inawezekan wote walidhani kuwa ICC ni kama mahakama ya hakimu mkazi wakapeleka kesi yao ndipo wakaambiwa kuwa hapana, hapa siyo Kisutu, na ndipo Lissu anakuja kutuleza aliyojifunza huko leo!

..kwa hiyo unaunga mkono ufafanuzi alioutoa Tundu Lissu?
 
..kwa hiyo unaunga mkono ufafanuzi alioutoa Tundu Lissu?
Nilikuwa ninafahamu jinsi ICC inavyofanya kazi na wala sikusubiri ufafanuzi wa Lissu; ni kutokana na hilo ndiyo maana Amsterdam aliposema amefungua kesi ICC nilisema huo ni uwongo mtupu.

Ufafanuzi wa Lissu unaweza kuwa unawasidia sana wale waliokuwa hawajui jinsi ICC inavyofanya kazi wakitegemea kuwa wanaweakwenda kuishitaki serikali ya Tanzania huko kwa vile hawaamini mahakama za Tanzania!
 
..Kwanini serikali ilipinga wachunguzi toka nje waje kusaidia ktk uchunguzi?
Uchunguzi wa nje wa nini mkuu? Punguza basi kulia lia.


Mwisho wa siku ujue tu kwamba kilichokuta Lissu sio kizuri sena shida ni maneo yake ya kejeri na kukela, mwisho wa siku anakusa msaada toka kwa serikali.
 
Nilikuwa ninafahamu jinsi ICC inavyofanya kazi na wala sikusubiri ufafanuzi wa Lissu; ni kutokana na hilo ndiyo maana Amsterdam aliposema amefungua kesi ICC nilisema huo ni uwongo mtupu.

Ufafanuzi wa Lissu unaweza kuwa unawasidia sana wale waliokuwa hawajui jinsi ICC inavyofanya kazi wakitegemea kuwa wanaweakwenda kuishitaki serikali ya Tanzania huko kwa vile hawaamini mahakama za Tanzania!

..Kwa hiyo unakubali na unaunga mkono kwamba Tundu Lissu ametoa ufafanuzi mzuri?
 
Yani tundu Lissu wema aliowafanyia watanzania na tunayomlipa ni tofauti yani Kama yesu wayahudi na baraba

Imagine alivyowapigania watanzania kutambua ukweli dhidi ya wizi uliofanywa na dola na namna alivyopinga Tanzania kuongozwa kidikteta lakini Leo hii Kuna watu wanamsemea mabaya daaah walimwengu aisee ajabu Sana hua siamini Mambo ninayoyaona ambayo yako against Lissu mpaka huwa najiuli aliwakosea nini yeye binafsi?
Mkuu huko ccm akili zote huwa anakabidhiwa mwenyekiti,kwa hiyo msimamo wa mwenyekiti,adui binafsi wa mwenyekiti,mtu yeyote anayempinga mwenyekiti ni adui wa kila mwanaccm,next time mwanaccm akiwa na shida ukiweza msaidie,ukitaka acha
 
Back
Top Bottom