Uchunguzi wa nje wa nini mkuu? Punguza basi kulia lia.
Mwisho wa siku ujue tu kwamba kilichokuta Lissu sio kizuri sena shida ni maneo yake ya kejeri na kukela, mwisho wa siku anakusa msaada toka kwa serikali.
..kama watawala hawakumsaidia wakati ule yuko mahututi hajitambui unadhani watamsaidia sasa wakati anaweza kujisemea?
..watawala ndio walioondoa ulinzi wa area D ili kupisha magaidi waliowatuma wakamuue Tundu Lissu.
.