FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hata kazi hajaanza.Me nahisi huu mvurugano katengeneza makonda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kazi hajaanza.Me nahisi huu mvurugano katengeneza makonda
Nzuri sana hiiTundu Lisu ni kiongozi makini
Ccm huwa wanapenda/kubali kukosolewa, sio ndio tunaona wakoasoaji wakitekwa, kuuwawa, kubambikiwa kesi, kuhujumiwa maeneo Yao ya kuwaingizia kipato nk? Ama unafumbia macho ukweli huo?Uzuri wa Lissu ukizingua huwa hakuachi, CHADEMA wanapenda kuikosoa CCM ila wao wakikosolewa sasa,utatukanwa matusi hujawai kusikia.They are always right!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Hana ujanja Wala uwezo huo. Usitake kumpa point za mezani kwa kazi aliyoshindwa hata kipindi Cha dhalimu magu. Labda umsifie Makonda kwa siasa chafu na za kikatili kwa backup ya vyombo vya Dola.Me nahisi huu mvurugano katengeneza makonda
Makonda yule zero brain hana akili hiyo yeye akili yake ni kuteka na kuua tuMe nahisi huu mvurugano katengeneza makonda
HahahaHata kazi hajaanza.
Kolimba aliuliwa kwa kusema ukweli kuwa CCM imekosa mwelekeoCcm huwa wanapenda/kubali kukosolewa, sio ndio tunaona wakoasoaji wakitekwa, kuuwawa, kubambikiwa kesi, kuhujumiwa maeneo Yao ya kuwaingizia kipato nk? Ama unafumbia macho ukweli huo?
Haswaaaaaa.Hahaha
Kwahyo akianza itakuaje
Ni mawazo yako ila wenyewe CHADEMA wanasemajeNani wa kumfunga paka kengele. Mwenyekiti anakula kote kote huku akirudisha juhudi za mapambano ya makamu nyuma.
Makamu nae hana ujanja wa kumfunga paka kengele yakaja kumkuta ya Chacha Wangwe na kina Zito. Hivyo anaona cha kufanya ni kurusha madongo ya mbali na mafumbo ya hapa na pale kama hivi, lkn vyote havina impact yoyote.
😂😂😂Ni ngumu sana kugundua kuwa anayekusaliti ndo mwenyekiti wako 🤣🤣
Maana huna cha kumfanya
Wanasema hiviNi mawazo yako ila wenyewe CHADEMA wanasemaje
Za uongo utakuja kusutwaBaada ya kuibuka Mnyukano ndani ya Chama na sintofahamu mbalimbali baina ya Viongozi wa chama na Baadhi ya Wanachama.
Jambo hilo limemuibua Makamu Mwenyekiti Bara akielezea sintofahamu hizo.
Hali hii imetokana na wiki kuibuka mnyukano kati ya Mariastella na martin na Ntobi kurushina maneno machafu mitandaoni mpaka kufikia kutoleana siri za chama.
Hata hivyo muheshimiwa Lissu kasema kwamba: "Ukiona mtu anashambulia kundi lolote linalofanya harakati za kutafuta haki nchini, huyo mtu anafanyakazi ya CCM, na anafanyakazi ya shetani"
Lissu aliendelea kusema kuwa: "Tunahitaji umoja wa makundi yote bila kubezana, lazima tujitofautishe na na kauli zinazofanana na CCM, ukikosolewa unasema umetukanwa, unakuwa na chawa wa kushambulia, CHADEMA lazima tukosolewe, kwa sasa tumekuwa chama kikubwa kuna vitabia vya hovyo vimeanza jengeka kwa baadhi ya watu, hatukuwa na hizi tabia huko nyuma"
Kwakuwa bado anaendele kuhutubia nitaleta Update kwa kadri ya maneno yake
View attachment 2797867
Bado hizi propaganda za kizee mnazitegemea Hadi karne hii?Nani wa kumfunga paka kengele. Mwenyekiti anakula kote kote huku akirudisha juhudi za mapambano ya makamu nyuma.
Makamu nae hana ujanja wa kumfunga paka kengele yakaja kumkuta ya Chacha Wangwe na kina Zito. Hivyo anaona cha kufanya ni kurusha madongo ya mbali na mafumbo ya hapa na pale kama hivi, lkn vyote havina impact yoyote.
ACHA kutulisha matango Poli mbona hata hao jambo TV wamekanusha uzushi wako munaanza kufanya kazi za mwanahalakati msibaNi vizuri ukasema uongo Uko sehemu gani mkuu!
Matusi gani, maana kama ni matusi huwa ni chini ya 90% ya ukweli unaosemwa, ila inabidi kujifichia kwenye kichaka Cha matusi ili kufunika ukweli unaosemwa. Kama ni matusi huwa tunayaona wenyewe, na hakuna chama kinaweza kusema hawana tabia hiyo. Na ushahidi upo wazi.Kuporomosha matusi kwa umahiri, bidii na ustadi mkubwa ndio utambulisho na ushujaa wa hii chama......
kama huna tabia ya mitusu basi bado hujaiva na utaonekana useless......
Mvurugano upi ?Me nahisi huu mvurugano katengeneza makonda
Itabdi uende kwenye Youtube ukaangalia hiyo Video vzuri usiwe unaropoka bila kujua chochote kaangalie hiyo video ya hotuba ya Lissu leo akiwa marekani..ACHA kutulisha matango Poli mbona hata hao jambo TV wamekanusha uzushi wako munaanza kufanya kazi za mwanahalakati msiba
Martine na Mariast... na ntobi pia....Mvurugano upi ?
utaanza kuiporomosha muda si muda.....Matusi gani, maana kama ni matusi huwa ni chini ya 90% ya ukweli unaosemwa, ila inabidi kujifichia kwenye kichaka Cha matusi ili kufunika ukweli unaosemwa. Kama ni matusi huwa tunayaona wenyewe, na hakuna chama kinaweza kusema hawana tabia hiyo. Na ushahidi upo wazi.
hao wana set stage tu, ili patriotic na pupet waje wagongane vizri kwa uwaziMartine na Mariast... na ntobi pia....
Na mwenyekiti na mwenyekiti msaidizi...