Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Sio hivyo..

Amelifafanua vyema sana hili. Hata Mimi nilikuwa sijui kabisa..

Kumbe mgawo wa ruzuku msingi wake huwa ni;

1. Idadi ya kura walizopata wabunge wa majimbo. Na chama Cha siasa kina qualify kupata ruzuku iwapo kura za wabunge wa majimbo ni si chini ya 5% ya idadi ya kura zote. Hapa CHADEMA kwa mujibu wa tume ya uchaguzi ya CCM, walikuwa na 16.7% ya kura zote..

2. Idadi ya kura ya kura za U - Rais. Hapa haijulikani Kwa sababu mpaka sasa NEC ya CCM haijstangaza rasmi kura halisi za ushindi wa u - Rais wa John P. Magufuli jimbo Kwa jimbo..
Kumbe NEC hawakutangaza kura za ushindi 😳 Kwahy mpaka sasa hatujui JPM alipata kura ngapi 😂
 
Kumbe NEC hawakutangaza kura za ushindi 😳 Kwahy mpaka sasa hatujui JPM alipata kura ngapi 😂
Absolutely, Yes...

Kwa mujibu wa Tundu Lissu akitumia website ya NEC na government gazette (Kwa sababu ni lazima matokeo ya uchaguzi yawe gazetted) as primary source ya taarifa hii, mpaka sasa hakuna matokeo ya u - Rais Kwa uchaguzi mkuu wa 2020 ya Jimbo Kwa Jimbo kuonesha alipata kura ngapi..

Ambacho Kiko published tayari kwa sasa ni matokeo ya kura za wabunge tu Jimbo Kwa Jimbo Tanzania bara na visiwani. Na hata takwimu hizo za kura za wabunge zina kasoro kubwa mno kwa sababu kuna ziada ya kura fake zaidi milioni tatu plus ya kura zilizopigwa ukikinganisha na idadi ya wapiga kura halisi walioandikishwa...

Na kwa mujibu wa sheria, ni lazima matokeo yawe published both in the NEC website & the gvt gazette within three months after the presidential election results had been announced..

Lakini leo ni muda gani?......... Ni mwaka wa tatu sasa...!!!
 
Makamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu akiwa ktk mtandao wa Club house ameweka wazi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanza kupokea Ruzuku Mwezi huu uliopita.

Makamu huyo nguli wa sheria na siasa bora Tanzania ametumia nafasi hiyo kuwapongeza watanzania waliokiunga mkono chama hicho kikiwa katika hali ngumu ya kifedha.

"Wanachama wetu na wafuasi waliendelea kufanya kazi za chama bure kabisa bila malipo, na hii inaonesha kuwa Chama chetu ni chama cha watu."

===


CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kupokea ruzuku waliogoma kuichukua baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.

Uthibitisho huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu leo Jumapili, Machi 05, 2023 wakati akijibu maswali kwenye hadhara iliyofanyika kwenye mtandao wa Clubhouse.

“Chama (Chadema) kimeanza kupokea ruzuku mwezi huu (Machi) ambayo hatukuichukua tangu ulipofanyika uchaguzi mkuu wa 2020

“Tumepokea sehemu tu ya pesa hizo na kiasi kilichosalia tutapewa siku za usoni. Tumeamua kuichukua kwasababu ya ahadi ya maridhiano yanayoendelea,” alisema Lissu

Hata hivyo mwanasiasa huyo alisema hivi karibuni Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika au Mwenyekiti, Freeman Mbowe atatoa taarifa rasmi.

Chadema iligoma kuchukua ruzuku hiyo inayokadiriwa kuwa ni zaidi ya sh. Milioni 110 baada ya kukataa matokeo ya uchaguzi waliyodai haukuwa uchaguzi bali ulikuwa ni uchafuzi.

Kwenye kauli za chama hicho walisikika wakisema kuwa wanaukataa uchaguzi na mazao yake.

Ikumbukwe chama hicho pia kilikataa kupeleka wabunge wa viti maalum bungeni kwa sababu ya kutoutambua uchaguzi huo.

Hii ni hatua nyingine ya matunda ya maridhiano yanayoendelea baina ya chama hicho na Serikali.
Maana yake, Sasa akina Halima Mdee ni Wabunge Rasmi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Viti Maalum (CHADEMA). Ahahahahah!
Nisikie tena mtu anawaita COVID 19. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai! Shubami!
 
Absolutely, Yes...

Kwa mujibu wa Tundu Lissu akitumia website ya NEC na government gazette (Kwa sababu ni lazima matokeo ya uchaguzi yawe gazetted) as primary source ya taarifa hii, mpaka sasa hakuna matokeo ya u - Rais Kwa uchaguzi mkuu wa 2020..

Na kwa mujibu wa sheria, ni lazima matokeo yawe published both in the NEC website & the gvt gazette within three months after the presidential election results had been announced..

Lakini leo ni muda gani?......... Ni mwaka wa tatu sasa...!!!
Jamani mbona kama vile nilisikia jamaa amepata kura 17m+ hivi au mm ndo sielewi.?
 
Maana yake, Sasa akina Halima Mdee ni Wabunge Rasmi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Viti Maalum (CHADEMA). Ahahahahah!
Nisikie tena mtu anawaita COVID 19. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai! Shubami!
Roho inakuuma
 
Absolutely, Yes...

Kwa mujibu wa Tundu Lissu akitumia website ya NEC na government gazette (Kwa sababu ni lazima matokeo ya uchaguzi yawe gazetted) as primary source ya taarifa hii, mpaka sasa hakuna matokeo ya u - Rais Kwa uchaguzi mkuu wa 2020..

Na kwa mujibu wa sheria, ni lazima matokeo yawe published both in the NEC website & the gvt gazette within three months after the presidential election results had been announced..

Lakini leo ni muda gani?......... Ni mwaka wa tatu sasa...!!!
😅😅😅hapakuwa na uchaguzi
 
Back
Top Bottom