Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Jamani mbona kama vile nilisikia jamaa amepata kura 17m+ hivi au mm ndo sielewi.?
Kwani sheria ya uchaguzi inasemaje..??

Inasema, matokeo ya u - Rais yakishatangazwa hakuna chombo wala mtu aweza kuhoji popote na kuanzia saa hiyo hiyo aliyetangazwa anakuwa Rais...!!

Kwa hiyo, dikteta anaweza kuamuru mwenye mamlaka (Kwa sisi TZ ni M/Kiti wa tume ya uchaguzi) atangaze matokeo yoyote tu hata kama ya kubumba tu (yaani yasiyo halisi) na game inaishia hapo..

Hiki ndicho kilichotokea mwaka 2020. Jamaa (John P. Magufuli) hakushinda kupitia sanduku la kura. Alipigwa na kukataliwa vibaya sana na wananchi. Tundu Lissu wa CHADEMA alishinda Kwa kishindo kikuu...

Na za ndani kabisa zinasema, hata kwenye ubunge CCM walipata majimbo yasiyozidi 25 Tanzania nzima na ndiyo chanzo cha mgogoro wa kushindwa kutangazwa kura halisi za u - Rais hadi leo Kwa sababu hawana takwimu halisi..!!
 
Maana yake, Sasa akina Halima Mdee ni Wabunge Rasmi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Viti Maalum (CHADEMA). Ahahahahah!
Nisikie tena mtu anawaita COVID 19. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai! Shubami!
Tafuta taarifa na ujue kigezo cha chama cha siasa kupokea ruzuku ni nini Kwa mujibu wa sheria..

Kina Halima Mdee hawana uhusiano na ruzuku ya CHADEMA. Kwa lugha rahisi, ni kuwa, CHADEMA hawapati ruzuku Kwa kigezo cha ubunge wa viti maalumu vya hao kina mama wakiongozwa na Halima Mdee..!!

Kina Halima Mdee hata wakiondolewa bungeni kesho, CHADEMA still kitaipata hiyo ruzuku, shubamit wewe..!!

Sababu ya mgogoro wao na CHADEMA ni kufoji nyaraka na kujihalalishia ubunge huo kinyume Cha sheria na taratibu za chama na za nchi...

In a simple language, one can say, those are criminals 100%... !!
 
Tafuta taarifa na ujue kigezo cha chama cha siasa kupokea ruzuku ni nini Kwa mujibu wa sheria..

Kina Halima Mdee hawana uhusiano na ruzuku ya CHADEMA. Kwa lugha rahisi, ni kuwa, CHADEMA hawapati ruzuku Kwa kigezo cha ubunge wa viti maalumu vya hao kina mama wakiongozwa na Halima Mdee..!!

Kina Halima Mdee hata wakiondolewa bungeni kesho, CHADEMA still kitaipata hiyo ruzuku, shubamit wewe..!!

Sababu ya mgogoro wao na CHADEMA ni kufoji nyaraka na kujihalalishia ubunge huo kinyume Cha sheria na taratibu za chama na za nchi...

In a simple language, one can say, those are criminals 100%... !!
Ahahahahaha!
 
Kwani sheria ya uchaguzi inasemaje..??

Inasema, matokeo ya u - Rais yakishatangazwa hakuna chombo wala mtu aweza kuhoji popote na kuanzia saa hiyo hiyo aliyetangazwa anakuwa Rais...!!

Kwa hiyo, dikteta anaweza kuamuru mwenye mamlaka (Kwa sisi TZ ni M/Kiti wa tume ya uchaguzi) atangaze matokeo yoyote tu hata kama ya kubumba tu (yaani yasiyo halisi) na game inaishia hapo..

Hiki ndicho kilichotokea mwaka 2020. Jamaa (John P. Magufuli) hakushinda kupitia sanduku la kura. Alipigwa na kukataliwa vibaya sana na wananchi. Tundu Lissu wa CHADEMA alishinda Kwa kishindo kikuu...

Na za ndani kabisa zinasema, hata kwenye ubunge CCM walipata majimbo yasiyozidi 25 Tanzania nzima na ndiyo chanzo cha mgogoro wa kushindwa kutangazwa kura halisi za u - Rais hadi leo Kwa sababu hawana takwimu halisi..!!
Duh bc sawa
 
tunafahamu kuwa baadhi ya wafuasi wa Chadema hamfurahishwi na jitihada zinazo fanywa na Mwenyekiti Mh. mbowe za kuleta maridhiano na utengamano wa kisiasa nchini.

Lakini nataka kuwaambia kuwa Mh. Mbowe kadhamiria kufanya siasa za kistaarabu za kuijenga nchi sio siasa za chuki, matusi na uhasama.
nawashauri wafuasi wa Chadema mmbadilike.
 
Back
Top Bottom