Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
msicheze na mamlaka yule si bibi yenuMnaosema Magufuli alikua dikteta na huyu mama je??? kichinichini...
Matusi gain unayosema ameyanena?Hoja gani Mzee? Matusi na kudhalilisha sio Demokrasia vinginevyo hata Shetani wenu atawashangaa View attachment 2692265
Unafikiri wakati wa Magufuli wangetumiwa barua za kuitwa kisheria? Waulize wakwambie.Mnaosema Magufuli alikua dikteta na huyu mama je??? kichinichini...
Huko jeshini ndio usiseme.Lisu sio ngombea uraisi tu bali ni next president, jeshi la Police lina askari wengi wazalendo wanashangaa sana hizi mambo zimewagawa sana.
Kwa hio umekubali ni dikteta au?msicheze na mamlaka yule si bibi yenu
Suala bandari Hapana Hapana Hapana.....warekebishe vipengele vyote vyenye utataUnafikiri wakati wa Magufuli wangetumiwa barua za kuitwa kisheria? Waulize wakwambie.
Mama hana papara - Kikwete.
Demokrasia gani ya kutukana watu...??Hii nchi hii hata Kenya tu hapo jirani hatuigi hata democracy ya jirani tu hapo.
Kumbuka Yesu Kristo alikamatwa na kusulubiwa na Mamluki ili maandiko yatimieajisalimishe mara moja,mtovu wa nidhamu sana
Mnataka kugha za kubembeleza ili iweje ?Tundu Lissu ana hoja nzuri sana, shida inakuja lugha anayotumia kuwasilisha/kukosoa ina matusi na kejeli ndani yake.
Kwa mtu msomi kama yeye sipendezwi na kile anachokifanya na kwa kiongozi mwenye asili ya hasira hashindwi kuchukua hatua kali dhidi yake.
Police wanahangaika tu kutaka kumfurahisha Mama hakuna kesi hapo!Unafikiri wakati wa Magufuli wangetumiwa barua za kuitwa kisheria? Waulize wakwambie.
Mama hana papara - Kikwete.
wacha kufananisha manabii na huo ushuzi,unavuka mstari nduguKumbuka Yesu Kristo alikamatwa na kusulubiwa na Mamluki ili maandiko yatimie
Samahani bwana Red blood cells hivi akitumia lugha ya ustaha ni kwamba hatoeleweka ama naye ni wale wanaotafuta sifa mitandaoni?Mnataka kugha za kubembeleza ili iweje ?
Hawana akili , wakati hawa polisi wanatumika kuthibiti watu wanaotetea utu wao , viongozi wao wanawaibia michango yao ya mazishi!!Huko jeshini ndio usiseme.
Wajeda wameapa kuilinda katiba ya nchi.
Kama mna kumbukumbu mtakumbuka.
Nenda basi kwa mwanasheria mkuu umuoneshe hivyo vifungu.Suala bandari Hapana Hapana Hapana.....warekebishe vipengele vyote vyenye utata
Mtetezi wa waovu upo kazini. Unaunga mkono Wizi na ufisadi unaotaka kufanywa na DP world kwenye bandariHii safi sana, tulikuwa tunasema humu, kama anayake akayaongee mahakamani.
bado na Mbowe, si ndivto wanavyotaka?
Demokrasia ipi ya kuuza rasilimali za Taifa kwa waarabu?Demokrasia gani ya kutukana watu...??