Tundu Lissu: DCI Kingai kaniandikia barua ya wito wa kuripoti ofisini kwake. Nipo nje ya nchi, wiki ijayo narudi kumkabili

Demokrasia gani ya kutukana watu...??
Weka hapa matusi aliyotukana. Kwa hapa Tanzania mtu akiambiwa ukweli kile alichokifanya mnaita matusi. Mfano akisema rasimali asilia za Tanganyika haziwezi kuuzwa na Wazanzibar. Kwa Tanzania mnaweza kuita matusi.
Ona Kenya Raila anavyompa vipande Luto. Mpaka anamwambia mjinga,lakini ndio hivyo siasa,wanasonga
 
Huyu kingai mwenye elimu ya mpwayungu alishindwa kujibu maswali ya kibatala,mpka kubanwa na haja kubwa...kwa lissu atajipupulia puuu
 
Huu mwenge unatakiwa itupwe mbali ndio inafanya Watanzania watawaliwe na mazuzu..usikute ndio kimbola tunapigwa watanzani tunakosa umoja wa kusimamia mambo yetu.
ati mwenge ni...kha mwenge ni kimbola uishi sana mkuu kwa comment hii 🤣😂
 
Huu mwenge unatakiwa itupwe mbali ndio inafanya Watanzania watawaliwe na mazuzu..usikute ndio kimbola tunapigwa watanzani tunakosa umoja wa kusimamia mambo yetu.
Huo ndio mtaji WA CCM siku utakapotupwa baharini ndio siku watanzania watakuwa na ujasiri kama wakenya. But ule. Moshi ukiendelea kuzungushwa kila MWAKA tutabaki mandondocha kila siku. Ndio tambiko LA chichim na shetani dhidi ya watz
 
Safi sana, haya majitu kupatia uhuru uliopitiliza haina maana kwa maana wanshindwa kabisa kujizuia aisee
 
Yaani wasio na HATIA washtakiwe ilhali majambazi yanapewa ulinzi.

Duniani Kuna mambo!!!
 
Hii ndo shida ya kuongozwa na raisi mwenye akili ya kisoda ,nguvu nyingi zinatumika kuficha mapungufu yake
 
CDM jitafakarini kama ni sahihi kuridhiana na majizi ya CCCm!!!
 
Wanalazimisha tumeheshimu kiongozi mwenye akili ya kisoda na pia nguvu nyingi inatumika ili kuficha hayo madhaifu yake ,badala raisi ajisimamie ,machawa ndo wantumika kumkingia kifua,
 
Ndio kipindi hiki hiyo kesi imekumbukwa!?
 
Kama kiongozi ukiongea vitu vya kijinga na watu wakakuambia huo ulioongea ni upuuzi. Kuna shida gani? Kiongozi anapokusea na anakaza shingo, unataka wanaoongozwa wafanyaje?
Nguvu inayotumika kuficha mapungufu ya huyu mama ni kubwa mno ,machawa KAMA akina nape ndo watetezi wake
 
Ila mimi naamini kuna watu wanamhujumu mama katika sakata hili. Wamelianzisha ili ionekane mama ameshindwa kuongoza

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Raisi kapanda ndege na konvoy ya watu 100 kwa kodi zetu kwa matakww yake bila kushirikisha hats wataalam wake ndo akija na huu uchafu ndo unasema kuna mtu anamhujumu rais jamani .kwa kifupi saa100 akili yake inatosha kisoda tu
 
Raisi kapanda ndege na konvoy ya watu 100 kwa kodi zetu kwa matakww yake bila kushirikisha hats wataalam wake ndo akija na huu uchafu ndo unasema kuna mtu anamhujumu rais jamani .kwa kifupi saa100 akili yake inatosha kisoda tu
Daah, hatar sana. Unajua si jambo la kawaida kuamua haraka hivi. Hata majirani wanatushangaa.

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…