Wapuuzi watupu !hatuna imani nanyi tena shida yenu ni uchu wa madaraka Hanna lolote , nkishindwa mtatuambia mini nyote mafisadi.Hapo mkuu Tundu Lissu Tumekusoma ,Tumekuelewa , Adui yetu ni System ya CCM ,is not and Individual Thanks for Clarification.
Kamanda UKAWA kuna ufisadi huko nawaachia nyie makamanda.
I concur with his clarification, 100%
Lowassa karibu katika jeshi la ukombozi tumekusamehe tupambane pamoja
5