Unaonekana umeshazoa vya kulipiwa sio, vijana wa Lumba mmeharibika akili mpaka maadiliA silly question deserves a silly answer, period.
Unauliza swali la mipasho unajibiwa kimipasho. Maswali mengine anauliza kutekeleza majukumu yake kwa wanaomuweka Belgium.
Yeye mwenyewe Lissu nani anallipa gharama zake za kuishi Belgium?
Lala wewe BashiteNdiyo imeniambia kuwa ana shida
Ipi mpya hapo?The Royal tour ya Rwanda
Rent $2.99 Buy $9.99
Ya Tanzania
Rent $5.99 Buy $19.99
Hivi nchi yetu, kwanini lakini?
Watanganyika hatueleweki,mara mnasema film haina kitu mara mnasema ni biashara kubwa,tushike lipi tuache lipi.Tumeshapigwa
Una kilo nyingi za upambafChadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepanga katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
Tunazungumzia utayarishaji filamu,kama hoja hujaielewa sio lazima kuchangia na kuleta ujuaji na kujitia unajua kutukana.Wewe mjinga huko marekani mama na timu yake wanaenda Kwa mishahara yao? Au hizo sio pesa za serikali?
Kama unampenda sana kazikwe naye ChatoAlikwapua kufanya miradi, ndege zipo, road zipo, miradi inaonekana, kama hufaidi ww basi ni ndugu yako
Hiyo movie mpaka sasa hata kuiona umeiona ndugu? Au unashabikia Tu kufata mkumbo
KWA taarifa yako hakuna hela yenu mliyowekeza humo kwahiyo nia yetu ni kutangaza utalii tu usihoji tena mauzo ya filamu maana hukuchangia shilingi yakoKama tunapata % tu nitamdharau sana bibi Hangaya, nikiangalia ule msafara na posho walizokuwa wakilipana watu kwa siku wakati hiyo filamu ikirekodiwa, kwamba serikali ndio imegharamia halafu sisi tusipate chochote narudia tena nitamdharau sana huyu Bibi.
ambaye anauthubutu wa kuiamini chadema kama chama cha siasa ni mtu jasiri sana ambaye anaweza hata kunywa sumu kama chaiChadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepanga katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
Kama unampenda sana kazikwe naye Chato
Inashangaza kuuliza hilo swali. Ukiuliza hivo inamaana kua hauna ufahamu hata wa kodi yako unayotoa inavofanya kaziKwani mliwekeza kiasi gani kwenye hiyo project?
Msome Rais wako 👇Inashangaza kuuliza hilo swali. Ukiuliza hivo inamaana kua hauna ufahamu hata wa kodi yako unayotoa inavofanya kazi
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Hupati mgao unapata wataliiiKwani zile documentaries za wanyama zinazochukuliwa kwenye mbuga zetu na kurushwa kwenye chaneli kama NAT GEO, NAT GEO WILD na nyinginezo huwa tunapata mgao wowote...........yaani wadanganyika tushakuwa shamba la bibi la mabeberu tukubali tu....
Acha wivu, kwani pale Lumumba unajua kama Kodi inalipwa Kwa Mzee nani?Chadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepanga katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
hebu tutolee KINEMBE chako kichafuChadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepanga katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi