Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kwa kazi ya uchawa wa mama, wewe ni mwepesi sana. Uachiwe idara ya vijembe kwa wavaa vijora.Hata Chadema ni chama Cha wananchi, wamesajikiwa, wanavuta ruzuku sometimes, na Sasa wanatuchangusha, hivyo kwa kuwa wanajitambulisha kupitia umma, wanakaguliwa na CAG, wao pia lazima tuwajadili