Tundu Lissu Fukuza Uanachama hawa Team Mbowe, usimuige Magufuli Msaliti hasemeki; Hakuna adui mbaya kama wa nyumbani kwako

Tundu Lissu Fukuza Uanachama hawa Team Mbowe, usimuige Magufuli Msaliti hasemeki; Hakuna adui mbaya kama wa nyumbani kwako

Kinjekitile Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
566
Reaction score
1,583
Magufuli aliwasamehe vijana aliyowahisi kuwa Wanamuhujumu hawa kina Kina Nape Nnauye, January Makamba na vigogo kama kinana na Makamba Sr, ila kumbe alikuwa anajichimbia shimo mwenyewe

Kuna figisu zinapikwa chini kwa chini kutoka CCM na wanawatumia vibaraka wao kutoka CHADEMA ambao wengi wao ni Team Mbowe kuwa Lissu asiweze kupiga hatua yoyote ndani ya Chama chake na sekeseke litaanzia watakapo anza kumuandaa mtu wa kugombea Urais

Ikumbukwe Team FAM wanamtaka Boss wao agombee ili kusiwepo na nguvu kubwa sana ya kumtikisa Bi’Kizimkazi,wanaogopa akigombea Lissu au Heche ngoma itakuwa ngumu sana kwao

Hawa Mamluki inatakiwa wafukuzwe CHADEMA iwe wanapenda au hawapendi coz kuwalea watu wasiotaka kufanya kazi na wewe ni hatari kubwa sana kwa taasisi kubwa hasa ya siasa

MUNGU mwenyewe uwa hataki kusalitiwa ndio maana alimfukuza shetani Mbinguni
 
Uzuri lissu anapendwa na team wapenda haki
Team mbowe wako kimaslahi zaidi hawamtishi yoyote ni sawa na kelele za chura
 
Magufuli aliwasamehe vijana aliyowahisi kuwa Wanamuhujumu hawa kina Kina Nape Nnauye,January Makamba na vigogo kama kinana na Makamba Sr,ila kumbe alikuwa anajichimbia shimo mwenyewe

Kuna figisu zinapikwa chini kwa chini kutoka CCM na wanawatumia vibaraka wao kutoka CDM ambao wengi wao ni Team Mbowe kuwa Lissu asiweze kupiga hatua yoyote ndani ya Chama chake na sekeseke litaanzia watakapo anza kumuandaa mtu wa kugombea Urais

Ikumbukwe Team FAM wanamtaka Boss wao agombee ili kusiwepo na nguvu kubwa sana ya kumtikisa Bi’Kizimkazi,wanaogopa akigombea Lissu au Heche ngoma itakuwa ngumu sana kwao

Hawa Mamluki inatakiwa wafukuzwe CHADEMA iwe wanapenda au hawapendi coz kuwalea watu wasiotaka kufanya kazi na wewe ni hatari kubwa sana kwa taasisi kubwa hasa ya siasa

MUNGU mwenyewe uwa hataki kusalitiwa ndio maana alimfukuza shetani Mbinguni
migambo wana ruka na kukanyagana sio 🐒
 
Magufuli aliwasamehe vijana aliyowahisi kuwa Wanamuhujumu hawa kina Kina Nape Nnauye,January Makamba na vigogo kama kinana na Makamba Sr,ila kumbe alikuwa anajichimbia shimo mwenyewe

Kuna figisu zinapikwa chini kwa chini kutoka CCM na wanawatumia vibaraka wao kutoka CDM ambao wengi wao ni Team Mbowe kuwa Lissu asiweze kupiga hatua yoyote ndani ya Chama chake na sekeseke litaanzia watakapo anza kumuandaa mtu wa kugombea Urais

Ikumbukwe Team FAM wanamtaka Boss wao agombee ili kusiwepo na nguvu kubwa sana ya kumtikisa Bi’Kizimkazi,wanaogopa akigombea Lissu au Heche ngoma itakuwa ngumu sana kwao

Hawa Mamluki inatakiwa wafukuzwe CHADEMA iwe wanapenda au hawapendi coz kuwalea watu wasiotaka kufanya kazi na wewe ni hatari kubwa sana kwa taasisi kubwa hasa ya siasa

MUNGU mwenyewe uwa hataki kusalitiwa ndio maana alimfukuza shetani Mbinguni
Tuwe na kiasi Cha nafasi tunazozipata, sio Kila kitu wewe kisa umeshika mpini! Tabia ya ubinafsi ni mbaya sana hasa kwenye taasisi
 
Magufuli aliwasamehe vijana aliyowahisi kuwa Wanamuhujumu hawa kina Kina Nape Nnauye,January Makamba na vigogo kama kinana na Makamba Sr,ila kumbe alikuwa anajichimbia shimo mwenyewe

Kuna figisu zinapikwa chini kwa chini kutoka CCM na wanawatumia vibaraka wao kutoka CDM ambao wengi wao ni Team Mbowe kuwa Lissu asiweze kupiga hatua yoyote ndani ya Chama chake na sekeseke litaanzia watakapo anza kumuandaa mtu wa kugombea Urais

Ikumbukwe Team FAM wanamtaka Boss wao agombee ili kusiwepo na nguvu kubwa sana ya kumtikisa Bi’Kizimkazi,wanaogopa akigombea Lissu au Heche ngoma itakuwa ngumu sana kwao

Hawa Mamluki inatakiwa wafukuzwe CHADEMA iwe wanapenda au hawapendi coz kuwalea watu wasiotaka kufanya kazi na wewe ni hatari kubwa sana kwa taasisi kubwa hasa ya siasa

MUNGU mwenyewe uwa hataki kusalitiwa ndio maana alimfukuza shetani Mbinguni
Kuna Intellijensia Imara wala usihofu. Yale yamekwisha. sasa hivi kila mtu yumo kundini pamoja na FAM
 
Ikumbukwe Team FAM wanamtaka Boss wao agombee ili kusiwepo na nguvu kubwa sana ya kumtikisa Bi’Kizimkazi,wanaogopa akigombea Lissu au Heche ngoma itakuwa ngumu sana kwao
Sidhani kama ni kweli Mbowe ana mpango wa kugombea urais 2025. Nadhani ni muda wa kukusanya watu wengi zaidi wa kuipinga CCM, kuliko kuanza kuwabagua eti sijui hawa team Mbowe, hawa Covid19, hawa nani sijui. Kushinda uchaguzi kunahitaji watu wengi, sio kundi dogo. Kumbuka Mbowe alipata 58%, ukiwaacha hawa kando hata ACT itaizidi CHADEMA
 
Uchaguzi wa ndani ushaisha, ukikutana mtu bado anashupaza shingo ujue katumwa na CCM.
Mwana CDM makini atakwenda na hoja ya Lissu iliyo mezani kwa sasa ambayo CCM inakuna kichwa kwa hofu.
 
Magufuli aliwasamehe vijana aliyowahisi kuwa Wanamuhujumu hawa kina Kina Nape Nnauye,January Makamba na vigogo kama kinana na Makamba Sr,ila kumbe alikuwa anajichimbia shimo mwenyewe

Kuna figisu zinapikwa chini kwa chini kutoka CCM na wanawatumia vibaraka wao kutoka CDM ambao wengi wao ni Team Mbowe kuwa Lissu asiweze kupiga hatua yoyote ndani ya Chama chake na sekeseke litaanzia watakapo anza kumuandaa mtu wa kugombea Urais

Ikumbukwe Team FAM wanamtaka Boss wao agombee ili kusiwepo na nguvu kubwa sana ya kumtikisa Bi’Kizimkazi,wanaogopa akigombea Lissu au Heche ngoma itakuwa ngumu sana kwao

Hawa Mamluki inatakiwa wafukuzwe CHADEMA iwe wanapenda au hawapendi coz kuwalea watu wasiotaka kufanya kazi na wewe ni hatari kubwa sana kwa taasisi kubwa hasa ya siasa

MUNGU mwenyewe uwa hataki kusalitiwa ndio maana alimfukuza shetani Mbinguni
Fukuza kila mtu. Ninyi ni chama kinacholilia demokrasia bwana! Msibabaishwe na mtu! Na mtakapochukua nchi hakikisheni kila wimbo unaopigwa LAZIMA Lissu atajwe kwa kusifiwa. Atakayekataa, fukuza nchini. Atakuwa msaliti huyo!!!
 

Mit 4:18​

Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ing’aayo, Ikizidi kung’aa hata mchana mkamilifu.

( Lissu ni mtu mwenye haki)
Ataendelea kustawi. ..hao wasaliti watashindwa tu
 
Mvurugano hautakiwi hivi sasa, inahitaji umoja na mshikamano katika kuwang'oa wakoloni weusi CCM
Magufuli aliwasamehe vijana aliyowahisi kuwa Wanamuhujumu hawa kina Kina Nape Nnauye,January Makamba na vigogo kama kinana na Makamba Sr,ila kumbe alikuwa anajichimbia shimo mwenyewe

Kuna figisu zinapikwa chini kwa chini kutoka CCM na wanawatumia vibaraka wao kutoka CDM ambao wengi wao ni Team Mbowe kuwa Lissu asiweze kupiga hatua yoyote ndani ya Chama chake na sekeseke litaanzia watakapo anza kumuandaa mtu wa kugombea Urais

Ikumbukwe Team FAM wanamtaka Boss wao agombee ili kusiwepo na nguvu kubwa sana ya kumtikisa Bi’Kizimkazi,wanaogopa akigombea Lissu au Heche ngoma itakuwa ngumu sana kwao

Hawa Mamluki inatakiwa wafukuzwe CHADEMA iwe wanapenda au hawapendi coz kuwalea watu wasiotaka kufanya kazi na wewe ni hatari kubwa sana kwa taasisi kubwa hasa ya siasa

MUNGU mwenyewe uwa hataki kusalitiwa ndio maana alimfukuza shetani Mbinguni
 
Magufuli aliwasamehe vijana aliyowahisi kuwa Wanamuhujumu hawa kina Kina Nape Nnauye,January Makamba na vigogo kama kinana na Makamba Sr,ila kumbe alikuwa anajichimbia shimo mwenyewe

Kuna figisu zinapikwa chini kwa chini kutoka CCM na wanawatumia vibaraka wao kutoka CDM ambao wengi wao ni Team Mbowe kuwa Lissu asiweze kupiga hatua yoyote ndani ya Chama chake na sekeseke litaanzia watakapo anza kumuandaa mtu wa kugombea Urais

Ikumbukwe Team FAM wanamtaka Boss wao agombee ili kusiwepo na nguvu kubwa sana ya kumtikisa Bi’Kizimkazi,wanaogopa akigombea Lissu au Heche ngoma itakuwa ngumu sana kwao

Hawa Mamluki inatakiwa wafukuzwe CHADEMA iwe wanapenda au hawapendi coz kuwalea watu wasiotaka kufanya kazi na wewe ni hatari kubwa sana kwa taasisi kubwa hasa ya siasa

MUNGU mwenyewe uwa hataki kusalitiwa ndio maana alimfukuza shetani Mbinguni
Mkuu, una ushahidi wa madai ya usaliti wao? Team Mbowe walikuwa almost nusu ya wajumbe wa mkutano mkuu. Unataka Lissu afukuze viongozi wenzake karibu miatano?

Wakati wa msimu wa uchaguzi, makundi kama haya hayaepukiki. Uchaguzi sasa umeisha. Ni jukumu la walioshinda kuponya majeraha ya uchaguzi kwa kuugeuza ushindi wao kuwa ushindi wa chama. Kiongozi ni kiongozi wa wote, wanaomtaka (waliompigia kura) na wasiomtaka (ambao hawakumpigia kura)!
 
Lissu na Mbowe wametoa somo kubwa sana la siasa Africa.

Binafsi nimefurahishwa sana na namna CDM walivyofanya smooth transition ya uongozi baada ya uchaguzi.

Mbowe baada ya uchaguzi kuisha kapotea kwenye media na public kwa ujumla. Ndio inavyotakiwa kumpa muda kiongozi mpya ku-establish maamuzi yake siku mwanzo.

Lissu nae baada ya kukamata ofisi kafunga mjadala wa matumizi ya chama huko nyuma; aliyoyakuta huko kwenye vitabu sio hoja kwa sasa.

Wameonyesha ukomavu mkubwa sana wote including Lema na Heche; uchaguzi umeisha vita mbele.

Sio MaCCM yanaangaika na marehemu kwa karibu miaka mitano, halafu walalamikaji ndio wanaendesha nchi.

Kong ile sana kwa Lissu na Mbowe; wameonyesha uelewa mkubwa sana wa siasa za chama baada ya uchaguzi uliokuwa na makeke kweli.
 
Back
Top Bottom