Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Mbowe alipata 58%, lakini akashindwa uchaguzi? Mshindi alipata asilimia ngapi?Sidhani kama ni kweli Mbowe ana mpango wa kugombea urais 2025. Nadhani ni muda wa kukusanya watu wengi zaidi wa kuipinga CCM, kuliko kuanza kuwabagua eti sijui hawa team Mbowe, hawa Covid19, hawa nani sijui. Kushinda uchaguzi kunahitaji watu wengi, sio kundi dogo. Kumbuka Mbowe alipata 58%, ukiwaacha hawa kando hata ACT itaizidi CHADEMA
haki gani aliyonayo Lisu? Kumpakazia uongo FAM kuwa anakula rushwa ya hela za Abdul? , Nusu Mkate, etc etc etc......leta ushahidi hana! Lisu nilimpenda kuliko wote, lakini kwa alichokionesha wakati wa kampeni, he is the most hopeless guy of our times!Lisu siyo mtu wa visasi ni mtu wa haki
58%? Labda ya mgao wa ruzuku ya chademaSidhani kama ni kweli Mbowe ana mpango wa kugombea urais 2025. Nadhani ni muda wa kukusanya watu wengi zaidi wa kuipinga CCM, kuliko kuanza kuwabagua eti sijui hawa team Mbowe, hawa Covid19, hawa nani sijui. Kushinda uchaguzi kunahitaji watu wengi, sio kundi dogo. Kumbuka Mbowe alipata 58%, ukiwaacha hawa kando hata ACT itaizidi CHADEMA
Lini alitamka Mbowe? weka clip hapahaki gani aliyonayo Lisu? Kumpakazia uongo FAM kuwa anakula rushwa ya hela za Abdul? , Nusu Mkate, etc etc etc......leta ushahidi hana! Lisu nilimpenda kuliko wote, lakini kwa alichokionesha wakati wa kampeni, he is the most hopeless guy of our times!
48%, sorry. Nilitaka nionyeshe wingi wa kura alizopata na jinsi gani mtu makini hawezi kuzipuuza na kutengeneza team yake peke yakeMbowe alipata 58%, lakini akashindwa uchaguzi? Mshindi alipata asilimia ngapi?
Jambo nzito lilikuwa kuwaondoa CCM kupitia Mbowe.Magufuli aliwasamehe vijana aliyowahisi kuwa Wanamuhujumu hawa kina Kina Nape Nnauye,January Makamba na vigogo kama kinana na Makamba Sr,ila kumbe alikuwa anajichimbia shimo mwenyewe
Kuna figisu zinapikwa chini kwa chini kutoka CCM na wanawatumia vibaraka wao kutoka CDM ambao wengi wao ni Team Mbowe kuwa Lissu asiweze kupiga hatua yoyote ndani ya Chama chake na sekeseke litaanzia watakapo anza kumuandaa mtu wa kugombea Urais
Ikumbukwe Team FAM wanamtaka Boss wao agombee ili kusiwepo na nguvu kubwa sana ya kumtikisa Bi’Kizimkazi,wanaogopa akigombea Lissu au Heche ngoma itakuwa ngumu sana kwao
Hawa Mamluki inatakiwa wafukuzwe CHADEMA iwe wanapenda au hawapendi coz kuwalea watu wasiotaka kufanya kazi na wewe ni hatari kubwa sana kwa taasisi kubwa hasa ya siasa
MUNGU mwenyewe uwa hataki kusalitiwa ndio maana alimfukuza shetani Mbinguni
Wewe lazima utakuwa unaliwa kiboga na Pedeshee Macala siyo bure. Chawa wenzio kama kina Jenista wanafaidika na ccm wewe unaleta porojo Jf. Pathetic Idiot.migambo wana ruka na kukanyagana sio 🐒