Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
KweliNa atapaishwa juu zaidi na vitendo vya kihuni kama hivyo vya kuchoma moto gari !!
Ujue watu wana akili na hawataki mambo ya vurugu !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KweliNa atapaishwa juu zaidi na vitendo vya kihuni kama hivyo vya kuchoma moto gari !!
Ujue watu wana akili na hawataki mambo ya vurugu !!
Hatari snSerikalo nzima inapambana na mtu mmoja
Uzee wako hauna thamani wala maana yoyote.Hawa wasiotishika walikuwa nje ya Nchi muda mrefu kwa hofu ya usalama wao
Hongera Rais Samia kurejesha ujasiriasiasa nchini
Ni raisi gani TL hajawahi kumtukana ?Na utakoma, safari hii hakuna wa kukuonea huruma Burukenge wewe, unamtukana Rais Samia unadhani CCM nao hawajui kucheza rafu
Mikataba ya kimangungo mnayoiwekea taifa kweli nyie ni vilazaLissu kafanya chokochoko weeee kaona kimya sasa anaamua kuchoma vyombo vyake halafu anasingizia ccm! Ila Mungu ndio mjuzi wa yote.
Naona ukifanya wizi au ujinga unatakiwa uambiwe wizi wako na ujinga wako. So kama rais katoa bandari Bure au yeye kapata chochote anatakiwa aambiwe kwa ukaliNa utakoma, safari hii hakuna wa kukuonea huruma Burukenge wewe, unamtukana Rais Samia unadhani CCM nao hawajui kucheza rafu
Ndio kushindwa kwenyewe. Aliyowaweza aliwauwa.Alikimbilia ubalozini dadeki😂