Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

Nimerudia tena kusoma lakini bado sijapaona pa kuedit
 
Uzi huu uingizwe kwenye mitaala ya shule zetu baada ya corona kwisha , umejaa unabii mtupu !
 
Saut ya weng ni saut ya Mungu
 
Usiyempenda kishafika .
 
kichwa cha Lissu hakijapata mpinzani.........lazma ujipange haswaaaa.....
Ah ah ah hapana Sasa nyinyi washabiki wa Lisu hebu wapeni nafasi na wenzenu Sasa wapumzike.Lol yani tangu Jana mmewakosesha Raha kabisa, mmewahamisha kabisa hapa jukwani,hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…