Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

Naomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa kuanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe tena wakiwa hai kwenye mashimo ya madini huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.

Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.

Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.

Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.

Kazi unayo..........maumivu yakimwisha tuutamsikia.
 
Kwa Tanzania mpinzani halisi na anayesimamia misimamo yakeke bila kuyumba ni Lissu tu. Kuna MTU ametolea mfano Dr Ulimboka, lakini anajua yaliyomkuta Ulimboka ndiyo yaliyosababisha afunge mdomo mpaka tumemsahau.
Yaliyomkuta Lissu ni classic lakini nyinyi ni mashahidi jinsi anavyopambana akiwa kitandani huku hajui hatma ya majeraha yake.
Je akipona kabisa itakuwaje? Hakuna jasiri kama huyu Tanzania.
a ma
 
Kwa Tanzania mpinzani halisi na anayesimamia misimamo yakeke bila kuyumba ni Lissu tu. Kuna MTU ametolea mfano Dr Ulimboka, lakini anajua yaliyomkuta Ulimboka ndiyo yaliyosababisha afunge mdomo mpaka tumemsahau.
Yaliyomkuta Lissu ni classic lakini nyinyi ni mashahidi jinsi anavyopambana akiwa kitandani huku hajui hatma ya majeraha yake.
Je akipona kabisa itakuwaje? Hakuna jasiri kama huyu Tanzania.
a ma
Swadakta
 
Lissu The Great .

Hakika utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
 
Nakala imfikie Pascal Mayalla wa CCM ofisi ndogo Lumumba
 
Naomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa kuanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe tena wakiwa hai kwenye mashimo ya madini huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.

Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.

Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.

Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.

Na kwa kuwa hata hao wanaotaka kumnyamazisha Lissu kumbe hata wao kuna siku watanyamaza tu, one way or the other! hakuna sababu ya Lissu kunyamaza, Aluta continua
 
Kiwete huwa hanyamazi na mpumbavu huwa anaongea hovyo bali mwenye hekima uhesabu MANENO yake walahi


Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi umeelewa uzi huu kwa kiwango chako duni cha elimu ? tuliweka uzi huu miaka mingi iliyopita ili kuweka angalizo , nadhani wewe na wachovu wenzako mmejionea wenyewe .
 
Na kwa kuwa hata hao wanaotaka kumnyamazisha Lissu kumbe hata wao kuna siku watanyamaza tu, one way or the other! hakuna sababu ya Lissu kunyamaza, Aluta continua
mkuu ndio kwanza kumekucha .
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Back
Top Bottom